Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,584
- 6,136
Mwanakijiji,
Kama sikosei ntakuwa nimekuelewa hivi kwamba:
Vyombo kama CAG kwa Tanzania, viwe na uwezo wa kutafuta makosa na wakiona makosa wanamtaarifu muendesha mashtaka wa serikali. Hawa wote wawili inabidi wawe na wanasheria waliobobea ili wasiwe wanapeleka kesi zisizoshindika mahakamani.
Nimekuwa naona katika film nyingi sana za USA, Afisa wa mashitaka akikataa kupeleka kesi mahakamani kwa kufahamu kuwa hana ushahidi wa kutosha. Tanzania inafanyika mara mbili. Hawa wanakagua, wanampasia DPP na yeey akipata habari anaanza kukagua kilekile ambacho kimeshakaguliwa. Hapo sasa kama hongo haikutokea kwa CAG basi wataitoa kwa DPP na kesi inafutiliwa mbali.
Hawa jamaa wangelibaki kama wanasheria wa kushtaki basi. Wakipata ushahidi, kwa kutumia wanasheria wao, wachunguze kama wanaweza kushinda. Kama hawawezi basi wanakubaliana na CAG kuwa ushahidi ni dhaifu na watafute ushahidi zaidi.
Kama sikosei ntakuwa nimekuelewa hivi kwamba:
Vyombo kama CAG kwa Tanzania, viwe na uwezo wa kutafuta makosa na wakiona makosa wanamtaarifu muendesha mashtaka wa serikali. Hawa wote wawili inabidi wawe na wanasheria waliobobea ili wasiwe wanapeleka kesi zisizoshindika mahakamani.
Nimekuwa naona katika film nyingi sana za USA, Afisa wa mashitaka akikataa kupeleka kesi mahakamani kwa kufahamu kuwa hana ushahidi wa kutosha. Tanzania inafanyika mara mbili. Hawa wanakagua, wanampasia DPP na yeey akipata habari anaanza kukagua kilekile ambacho kimeshakaguliwa. Hapo sasa kama hongo haikutokea kwa CAG basi wataitoa kwa DPP na kesi inafutiliwa mbali.
Hawa jamaa wangelibaki kama wanasheria wa kushtaki basi. Wakipata ushahidi, kwa kutumia wanasheria wao, wachunguze kama wanaweza kushinda. Kama hawawezi basi wanakubaliana na CAG kuwa ushahidi ni dhaifu na watafute ushahidi zaidi.