Hosipitali zetu

Hosipitali zetu

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2011
Posts
566
Reaction score
82
Ni miaka hamsini inatimia toka tanzania ipate uhuru kutoka kwa wenye akili wenzetu wazungu.walituachia chuo kikuu,hospitali tano kubwa ,mahakama,mashamba ya mzao ya kuuzwa nje kahawa,pareto,pamba,chai,korosho,tumbaku,karafuu, nk.leo hii mashamba mengi yamekufa,viwanda vingi vimekufa,mashirika mengi yamekufa,hospitali nyingi zimekuwa chakavu hamna madakitari wakutosha,vifaa duni,barabara hata za mijini zimekufa,wataalamu wengi wazuri wamekwenda kufanya kazi nje, mnaonaje wakoloni warudi au tuchague viongozi bora
 
Tuanzishe mfumo wa kutawalana wenyewe, ukoloni wa ndani kwa ndani.
 
Back
Top Bottom