mwanateknolojia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 1,026
- 1,749
Kaka hata kama amematamata kimombo lakini ujumbe si umeshafika! Shukrani nyingi kwa mtoa post umetujuza wengi aisee si haba!Kajifunze lugha ya malkia..usikurupuke..watu weusi bana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka hata kama amematamata kimombo lakini ujumbe si umeshafika! Shukrani nyingi kwa mtoa post umetujuza wengi aisee si haba!Kajifunze lugha ya malkia..usikurupuke..watu weusi bana.
Katika kipindi cha miaka 150 iliyopita marehemu ndiye kiongozi aliyeongoza kwa kipindi kirefu zaidi kuliko watawala wengine nchini kwake Misri.Nimejiuliza binafsi nimesahau lugha ya English au ni Mimi peke yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka hata kama amematamata kimombo lakini ujumbe si umeshafika! Shukrani nyingi kwa mtoa post umetujuza wengi aisee si haba!
Miaka 30 ya urais wa Misri bado unasema hajaifaidi dunia!Kamaliza maisha yake vibaya sana namajuto mengi hajafaidi ulumwengu hu.......hili liwe somo kwa viongozi makatili wote
Sent using Jamii Forums mobile app