Hospital ipi nzuri kwa clinic ya mjamzito

Usiniambie kuhusu bochi.
Kuna wadada waliisifiaga sana kwa huduma.... itabidi niwaulize isije kuwa walikuwa wanafanya marketing...yaani walichokifanya ni uzembe sana


 
Yeah, sidhani kama wako makini. Kilichoniudhi zaidi kwao haikuwa issue. Kwa sababu ikitokea maternal death yoyote hosp zingine huwa ni issue na vikao kama vya chama
Usiniambie kuhusu bochi.
Kuna wadada waliisifiaga sana kwa huduma.... itabidi niwaulize isije kuwa walikuwa wanafanya marketing...yaani walichokifanya ni uzembe sana
 
uko sahh mkuu. Bochi ni jehanam pale, bora hata mwananyamala
 
Hospotal za bongo kwa mama mjamzito ni shida, binafsi sioni hata moja yenye unafuu maana kote tulikwisha tendwa na wife wangu zaidi ni kwa neema ya Mungu tunazaliwa.
 
kuna docta Kidanto alikuwa Ami hospital nadhani na muhimbili ukumpata huyo hutajuta
 
Nashkuru sana wakuu kwa michango yenu.
 
Nenda muhimbili,kule fast track,nenda kwa kairuki,hata Marie stopes nayo wanaisifia..

mariastopes hawana akili nilienda kuanza kliniki wakaanza kunipa habari za abortion nikaondoka kimya kimya.
kama ni ujauzito wa kwanza aende hospital ya serikali
kule manesi ni wakali ila wanatoa elimu ya mama na mtoto na kumjenga kiakili.
 
Nenda pale Mbuyuni kuna clinic ya Professor Mgaya inautwa Maria Clinic ambaye ni Dr. Wa Muhimbili na anakuattend mpaka utakapojifungua.

Na kujifungua atakuwa na wewe first track hapo hapo Muhimbili


So utakuwa naye tangu mwanzo mpaka mwisho.

N.B. Usiwe na pesa za madafu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…