Hospital teule ya isoko ,itabaki magofu kama serikali haitachukua hatua, imechoka na haitamaniki Tena!

Hospital teule ya isoko ,itabaki magofu kama serikali haitachukua hatua, imechoka na haitamaniki Tena!

Hii nchi imelaaniwa haswa, utadhani hilo eneo hakuna viongozi kumbe wapo wanashinda kwenye semina
πŸ˜πŸ˜„πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜…πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜„Wanawaza Urefu Wa Kamba
 
View attachment 2711922hii ni hospitali ni yenye historia kubwa ukanda wote wa mbeya na hasa wilaya ya ileje ! Ndio ilikuwa tegemeo kuanzia miaka ya 1951 ilipokuwa zahanati Hadi kufikia 1961 ilipokuwa hospitali kamili ..hospitali hii kulingana na jiografia yake wagonjwa walikuwa hawabebwi na ambulance kulingana na vijii karibia vyote katika wilaya ya ileje miaka hiyo Hadi kufikia 2010 havikuwa na miundo mbinu ya barabara ! Njia pekee ya kumfikisha mgonjwa ilikuwa ni kwa njia ya vichanja au mzegazega hospitali hii ni muhimu sana lakini mpaka Sasa miundo mbinu ya barabara kuifikia hospitali hii ni changamoto kubwa hasa ikifika wakati wa mvua ..hakuna ukarabati wowote majengo ni Yale Yale taΓ±gu enzi za mkoloni ..hospitali hii kwa sababu majengo yake karibia yote yamechoka tunaomba serikali kupitia wizara ya afya na waziri wa afya jaribu kuitembelea hospitali hii ...utakuwa mzalendo na historia itakukumbuka ..iokoeni hospitali hii yenye historia kubwa sana taΓ±gu enzi za ujamaa mpaka SasaView attachment 2711933tunaamini wahusika na wanaoijua vizuri hospitali hawatapuuza ujumbe huu
Hakuna kutumia pesa za Umma kwenye Mali za makanisa
 
Morovian. Mwanakondoo ameshinda. Kuna uzembe kwa viongozi wanaosimamia taasisi za Kanisa la Morovian nchini. Wengi ni wabinafsi wanaojali matumbo yao tu. Hata chuo kikuu cha TEKU kiko hoi bin taaban. Huwezi amini kama ni chuo kikuu. Mishahara hailipwi kwa wakati na majengo hayakarabatiwi
Maaskofu wa Moravian wanajichanganya na siasa badala ya kusimamia shughuli za kiroho. Mmojawapo ni Emmaus Bandekile Mwamakula. Kutwa yuko kwenye mikutano ya CHADEMA
 
Ndugu zangu wengi walisali huko wamekimbia! Ni kama lina roho ya umaskini hilo kanisa!
Hata Auxiliary Bishop Stephano Musomba wa RC, Jimbo la Dar es Salaam alikuwa Mmoravian lakini baadaye akatoka na kukiri imani ya RC na kisha kuwa Padri hatimaye Askofu mwaka 2021.

Wamoravian wengi wanahamia KKKT hasa wakitoka Mbeya
 
Hata Auxiliary Bishop Stephano Musomba wa RC, Jimbo la Dar es Salaam alikuwa Mmoravian lakini baadaye akatoka na kukiri imani ya RC na kisha kuwa Padri hatimaye Askofu mwaka 2021.

Wamoravian wengi wanahamia KKKT hasa wakitoka Mbeya
Huyo Musomba ni mjomba wangu na ni miongoni mwa ndugu wengi walioondoka Moravian.
 
Ooh kumbe!! Jamaa amenyooka sana kwenye neno la Mungu
Kaka yake ni yule Musomba alikuaga mwenyekiti wa Moravian Jimbo la kusini na akawa mwenyekiti wa Moravian ulimwenguni. Ukoo wao una bahati sana ya vyeo.
 
Wachungaji wanapenda kuishi kianasa sana. Na huu ujio wa wachungaji matajiri ndiyo umewawehisha kabisa.
 
Back
Top Bottom