SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,344
Habari wana JF...
Napenda kuitumia nafasi hii kwa kuondoa ile dhana kwa baadhi ya watu ya kusema Hospitali ya Mirembe ni ya wagonjwa wa akili tu (wengine huwaita vichaa but siyo kabisa)
Kama ulikuwa unaumwa au umewahi kuumwa maradhi ya kawaida tu halafu uende Mirembe, ukiwasimulia watu hasa wa mikoani utachekwa sana tu wakijua wewe ulikuwa unaumwa akili.
Kwa kifupi ile hospital inatibu pia magonjwa mengineyo kama malaria, tyford, nk. na kwa ujumla ni nzuri sana.
Wengi nje na Dodoma ndio wanafahamu hivyo.
Napenda kuitumia nafasi hii kwa kuondoa ile dhana kwa baadhi ya watu ya kusema Hospitali ya Mirembe ni ya wagonjwa wa akili tu (wengine huwaita vichaa but siyo kabisa)
Kama ulikuwa unaumwa au umewahi kuumwa maradhi ya kawaida tu halafu uende Mirembe, ukiwasimulia watu hasa wa mikoani utachekwa sana tu wakijua wewe ulikuwa unaumwa akili.
Kwa kifupi ile hospital inatibu pia magonjwa mengineyo kama malaria, tyford, nk. na kwa ujumla ni nzuri sana.
Wengi nje na Dodoma ndio wanafahamu hivyo.