mwampepe
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 330
- 129
Habari,naomba msaada wa kuchagua hospitali ya kufanyiwa operation ambayo hawatanichana lakini wataniingiza chombo mfano mrija na kutoa uvimbe kati ya hospitali zifuatazo ipi inatoa hiyo huduma ya operation bila kuchana?
Kinondoni hospitali/Dr mvungi(kinondoni),Mount ukombozi hospitali(Moroco), Kinondoni Municipal hospital(Mwananyala), Kibangu Mission hospitali,Mikumi hospitali Magomeni,bochi hospitali (mbezi),Rabinasia hospitali (tegeta) Ekenywa ent medica center (magomeni),sanitas hospital (mikocheni),St monica modern med cenre (manzese),alexia medical limited(Kigamboni), Salamani hospitali (Magomeni), tumaini comprehensive infirmary hospital(Upanga),Tabata cancer ,& general hospitali,ilala municipal hospitali /amana (ilala).
Tatizo langu ni uvimbe kwenye mlango wa kizazi natanguliza shukurani zangu asanteni sana
================
Kinondoni hospitali/Dr mvungi(kinondoni),Mount ukombozi hospitali(Moroco), Kinondoni Municipal hospital(Mwananyala), Kibangu Mission hospitali,Mikumi hospitali Magomeni,bochi hospitali (mbezi),Rabinasia hospitali (tegeta) Ekenywa ent medica center (magomeni),sanitas hospital (mikocheni),St monica modern med cenre (manzese),alexia medical limited(Kigamboni), Salamani hospitali (Magomeni), tumaini comprehensive infirmary hospital(Upanga),Tabata cancer ,& general hospitali,ilala municipal hospitali /amana (ilala).
Tatizo langu ni uvimbe kwenye mlango wa kizazi natanguliza shukurani zangu asanteni sana
================