MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,555
Wakuu habari yenu,natafuta daktari aliyebobea kwenye maswala ya urology hapa mkoani mbeya,wakuu mnaweza nielekeza ni hospitali gani naweza kwenda iliyopo hapa jijini mbeya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana mkuuNenda hospitali ya rufaa utamkuta daktari bingwa wa urology anaitwa Dr Samky
Mkuu nakuja pm kama hutojaliUna shida gani mkuu?
Mkuu pm yako inaonekana imefungwa...kama hutojali naomba unifungulieUna shida gani mkuu?
Nami nina shida korodani Yangu ya kulia ina maumivu. Nimeenda hospital kufanya ultrasound Kuna bacteria. Nikapewa dawa maumivu yakatoka baadaye yakarudi tena..Una shida gani mkuu?