Hospitali gani ya private ni nzuri kwa kujifungulia na gharama zake zikoje

Hospitali gani ya private ni nzuri kwa kujifungulia na gharama zake zikoje

Nenda Kairuki.Sasa hivi wapo so Advanced.Operations-500,000/pia Bima wanapokea Na Huduma sawa Na wa private .Tofauti ndogo sana vyumba Baada ya kutoka operation room
Ila jamani Operation tuiongeleeni tu hapa ya uzazi Sio kitu cha mchezo.Kwanza Unainamishwa mgongo unadungwa Limsindano kama la Ng'ombe kwenye mshipa Mkuu.Baada ya hapo kwa Bibi wanaingiza mrija wa kuputisha mkojo.
Usile kitu masaaa kadhaaa kabla Na Baada
Nani anatesemaga eti Operation Ni rahisi?
Haya Iyo Ganzi ikiisha unaanza maumivu
Uwiiiiii
Nashauri operation iwe pale inapotokea Emergency my dear
Kwanza too risk.Ndo mana kama hujasainishwa Na ikasaulika waliohusika kazi hawana.
Mana pale unacheza Na Uhai Na kifo .
God forbid.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sitakuja kuruhusu eti mtu kisa doctor achezee papuchi ya mke wangu siku nikioa, tena mwakani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaaa ndio dr hufanyia physical examination yani aibu tupu lakini utafanyaje sasa. Hospital hamna aibu kule

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani doctor, aishike shike papuchi weeh afu eti bado nione iko na thamani ileile, isitoshe ukute lidoctor lenyewe ka kiume..! Naweza kuizila hiyo papuchi aisei..[emoji85][emoji85][emoji85]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa dr huishika ni kawaida tu aisee hapo huko hoi unafikiri utajali tena bora dr wa kiume kuliko wa kike
Yaani doctor, aishike shike papuchi weeh afu eti bado nione iko na thamani ileile, isitoshe ukute lidoctor lenyewe ka kiume..! Naweza kuizila hiyo papuchi aisei..[emoji85][emoji85][emoji85]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa dr huishika ni kawaida tu aisee hapo huko hoi unafikiri utajali tena bora dr wa kiume kuliko wa kike

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kwakweli..! Roho yangu inagoma mwanaume kuchezea papuchi ya mke wangu, mara linaingiza kidole eti kupima mtoto kafikia wapi ebooooh..! Sitaki ujinga mke wangu kujifungua ni nyumbani dr. Mimi mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa punguza wivu dr hupima huku kazungukwa na nurse wa kike . so hapo ni mwendo wa tiba tu
Hapana kwakweli..! Roho yangu inagoma mwanaume kuchezea papuchi ya mke wangu, mara linaingiza kidole eti kupima mtoto kafikia wapi ebooooh..! Sitaki ujinga mke wangu kujifungua ni nyumbani dr. Mimi mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda Kairuki.Sasa hivi wapo so Advanced.Operations-500,000/pia Bima wanapokea Na Huduma sawa Na wa private .Tofauti ndogo sana vyumba Baada ya kutoka operation room
Ila jamani Operation tuiongeleeni tu hapa ya uzazi Sio kitu cha mchezo.Kwanza Unainamishwa mgongo unadungwa Limsindano kama la Ng'ombe kwenye mshipa Mkuu.Baada ya hapo kwa Bibi wanaingiza mrija wa kuputisha mkojo.
Usile kitu masaaa kadhaaa kabla Na Baada
Nani anatesemaga eti Operation Ni rahisi?
Haya Iyo Ganzi ikiisha unaanza maumivu
Uwiiiiii
Nashauri operation iwe pale inapotokea Emergency my dear
Kwanza too risk.Ndo mana kama hujasainishwa Na ikasaulika waliohusika kazi hawana.
Mana pale unacheza Na Uhai Na kifo .
God forbid.

Sent using Jamii Forums mobile app
umenitisha' adi chozi limenilenga
 
Hapana kwakweli..! Roho yangu inagoma mwanaume kuchezea papuchi ya mke wangu, mara linaingiza kidole eti kupima mtoto kafikia wapi ebooooh..! Sitaki ujinga mke wangu kujifungua ni nyumbani dr. Mimi mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app

papuchi bora ichezewe na daktari.. kuliko washenzi wanaokula mzigo sasa hivi kabla hujakutana nae..

ila sex, papuchi, dushe ni over rated tu... ukiiweka sana akilini unajitesa bure
 
Nenda Edward Michaud iko Barabara ya Sam Nujoma inapakana na Kanisa la Kakobe kama unatokea round about ya Mliman City.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom