gracemwakilasa
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 538
- 1,281
WADADA WENGI HAWAJUI PROCEDURE YA KISU INAVYOKUWA, HUWA WANADHANI NI RAHISI NA KAMA WANGEBAHATIKA KUONA LIVE MWENZIWE AKIFANYIWA WAKATI YEYE MZIMA HATA MIMBA YENYEWE ANGEGOMA KUSHIKA.
Hahaaaa ndio dr hufanyia physical examination yani aibu tupu lakini utafanyaje sasa. Hospital hamna aibu kule
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo hospital mke wangu anaisifia sana sijui ina jambo gani haswa
Yeye Clinic asipoenda Rabinsia haoni kama kaenda Clinic akishindwa basi lazima aende Kairuki.
Hebu nisaidie Rabinsia kuna nini kikubwa mi sijawahi kufika
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiu gani Tena???Mungu hakuwa mjinga kuweka kuzaa kwa papuchi operation inauma sana aisee hafu madhara yake ni mpaka uondoke duniani. Ukizaa kawaida ukitoka kule unadunda operation sasa. Cha mkojo kinauma hafu na ile kiu ni hatari.
Nawazaga sana siku ya kuzaa inakuwaje hafu waliozaa kwa operation migongo huwauma hatari wanawake tuna shida. Hafu watu hujidaganya haiumi eeh Mungu niepushie na operation zakuzaa I can't bare the pain
Sent using Jamii Forums mobile app
ILE SINDANO NI HATARI SANA NDIO MAANA MATATIZO YAKE MNAPATA WAKATI WOTE MAANA KUNA WAKATI ILI KUZUIA KUTOHARIBU SOFT TISSUE INABIDI ATANUE NGOZI KWA KUTUMIA MIKONO BADALA YA KISU SASA UKIONA KAMA UNGEKUWA NDIO UNAPATA MAUMIVU YA MOJA KWA MOJA LAZIMA UFE.Hatari sana.Sana imagine Tumbo linafumuliwa mithiri ya Unavyopasua Kuku..
Uwiiiiiiiiiiiiii!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
ILE SINDANO NI HATARI SANA NDIO MAANA MATATIZO YAKE MNAPATA WAKATI WOTE MAANA KUNA WAKATI ILI KUZUIA KUTOHARIBU SOFT TISSUE INABIDI ATANUE NGOZI KWA KUTUMIA MIKONO BADALA YA KISU SASA UKIONA KAMA UNGEKUWA NDIO UNAPATA MAUMIVU YA MOJA KWA MOJA LAZIMA UFE.
Kiu ya kufa mtu haelezeki nadhani hyo kiu inapatikanq kuzimu tu,Kiu gani Tena???
.
ILE SINDANO NI HATARI SANA NDIO MAANA MATATIZO YAKE MNAPATA WAKATI WOTE MAANA KUNA WAKATI ILI KUZUIA KUTOHARIBU SOFT TISSUE INABIDI ATANUE NGOZI KWA KUTUMIA MIKONO BADALA YA KISU SASA UKIONA KAMA UNGEKUWA NDIO UNAPATA MAUMIVU YA MOJA KWA MOJA LAZIMA UFE.
What is PV in gynecology?
A pelvic examination is the physical examination of the external and internal female pelvic organs. It is called "bimanual exam" when two hands are used and "manual uterine palpation" (palpation meaning an examination by touch). It is frequently used in gynecology.
Asante nduguHospitali za wilaya au mikoa zikishindwa kutibu, zinakupa Referal form kwenda hospitali za Juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaoumwa migongo nijiavyo mimi mara nyingi ni kwa wale wanaojifungua kwa njia ya kawaida ,
Naona kuna watu humu mnasema wanaojifungua kwa operations wanaweza kuumwa migongo?
Naona kama mmeongea kinyume chake!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio chini ya laki tano
E bwana kiu ya maji au vipi??? Wanamwake mmeumbwa mateso, mimi ule msemo wa wanaume wameumbwa mateso nadhani wanawake ndo mateso zaidi
E bwana kiu ya maji au vipi??? Wanamwake mmeumbwa mateso, mimi ule msemo wa wanaume wameumbwa mateso nadhani wanawake ndo mateso zaidi
Aga Khan is the best for maternity care
Bei sijui nashauri ukate bima
Ile AMI ya Masaki sijui pia..but kote najua wana accept bima
Confirm Kampuni za bim
NHIF hapana mkuu