Hospitali huwa zinaruhusiwa kufanya matangazo ya kibiashara?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifahamu hospitali na mawakili huwa hawaruhusiwi na taaluma zao kufanya matangazo ya kibiashara mpaka leo hii nilipokutana ni hii ya Yanga kuitangaza JKCI!

Sijajua lengo la huu mpango ni lipi hasa?

Kwamba JKCI wana uhaba wa wateja?

Au JKCI wanafanya ushindani na watoa huduma wengine kama wao nje ya nchi?

Hii ni mpya!
 
Ni taasisi ndio inachuana na hospital za india huko so moja ya strategies za kibiashara ni kuji brand
 
Kiwanja- USA matangazo ya hospital na law firms yapo kila kona. Kwanini mawakilini wasifanye matangazo?
 
Hospitali Haikatazwi Kujitangaza na hata Kuweka Bango kwa sababu Ni njia ya Kuonyesha Hasa Huduma Zao ni zipi Ila Daktari haruhusiwi Kujitangaza..

Kitendo Cha Daktari Kujitangaza Ni Kuvunja Miiko ya Kiapo cha Hipocratic (Hippocratic Oath) na inaweza Kumpelekea Kufutiwa Lesseni..kama Akigundulika Kujitangaza Kwake Ilikuwa ni kwa ajili ya Kujipatia Wateja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…