beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Rais Cyril Ramaphosa anasema Hospitali Nchini humo zinaandaliwa kulaza wagonjwa zaidi hospitalini, wakati Kirusi cha Omicron kikiendelea kuenea na kupelekea Wimbi la Nne
Rais Ramaphosa anasema idadi ya maambukizi ya siku imeongezeka mara tano zaidi ya wiki iliyopita. Amewataka Wananchi kupata chanjo, kuvaa barakoa na kuepuka misongamano ili kupunguza maambukizi
=====
South Africa's president says the country is preparing for more hospital admissions, as the Omicron coronavirus variant continues to spread to become a fourth wave of infections.
In his weekly newsletter, President Cyril Ramaphosa says the number of daily infections has increased five- fold over the last week.
He urges South Africans to get vaccinated, calling it an "urgent priority" that will also help economic recovery.
Mr Ramaphosa also encourages the use of face masks, social distancing and avoiding crowds to reduce the spread of the virus.
Source: BBC
Rais Ramaphosa anasema idadi ya maambukizi ya siku imeongezeka mara tano zaidi ya wiki iliyopita. Amewataka Wananchi kupata chanjo, kuvaa barakoa na kuepuka misongamano ili kupunguza maambukizi
=====
South Africa's president says the country is preparing for more hospital admissions, as the Omicron coronavirus variant continues to spread to become a fourth wave of infections.
In his weekly newsletter, President Cyril Ramaphosa says the number of daily infections has increased five- fold over the last week.
He urges South Africans to get vaccinated, calling it an "urgent priority" that will also help economic recovery.
Mr Ramaphosa also encourages the use of face masks, social distancing and avoiding crowds to reduce the spread of the virus.
Source: BBC