Hospitali nyingi hawapendi Bima za Afya

Hospitali nyingi hawapendi Bima za Afya

GOSSO MZEKEZEKE

Senior Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
180
Reaction score
204
Habari wanaJF.

Hospitali nyingi hawapendi kutumia Bima ya afya kwa madai ya kuwa wanachelewesha kulipwa hela zao na hivyo kushindwa kuendesha ofisi.

Ukienda na bima wahudumu wengi wanakuwa wakali na hata wakitoa huduma inakuwa mbaya sana.

Serikali ni kwanini kuna tatizo hili na mpaka sasa kwanini hamtaki kuchukua hatua maana tatizo limekuwa sugu sana.
 
Habari wanaJF.

Hospitali nyingi hawapendi kutumia Bima ya afya kwa madai ya kuwa wanachelewesha kulipwa hela zao na hivyo kushindwa kuendesha ofisi.

Ukienda na bima wahudumu wengi wanakuwa wakali na hata wakitoa huduma inakuwa mbaya sana.

Serikali ni kwanini kuna tatizo hili na mpaka sasa kwanini hamtaki kuchukua hatua maana tatizo limekuwa sugu sana.
Bima gani? Sio bima zote,NHIF na NSSF
 
Habari wanaJF.

Hospitali nyingi hawapendi kutumia Bima ya afya kwa madai ya kuwa wanachelewesha kulipwa hela zao na hivyo kushindwa kuendesha ofisi.

Ukienda na bima wahudumu wengi wanakuwa wakali na hata wakitoa huduma inakuwa mbaya sana.

Serikali ni kwanini kuna tatizo hili na mpaka sasa kwanini hamtaki kuchukua hatua maana tatizo limekuwa sugu sana.
Baadh ya hospital washenz mno


Nilienda kumuona Dr. na nikamuomba nataka kupima malaria kulingana na namna ninavyojisikia

Tukafanya maongez km dkk3 hv mwishowe nikaona isiwe tabu nikamkubalia tufanye km anavyoshaur


Nikapimwa malaria,UTI,taifod,wingi wa damu+grupu la damu nikapigwa na ultra sound mwishowe nikapewa dawa mfuko ule unaouzwa mia tano umejaa


Matibab kwa bima ni changamoto sana
 
Kweli.

kuna hospital moja (private) nilikuwa naenda nikipata changamoto kiafya,kabla sijapata bima walikuwa wananipokea kwa bashasha na huduma wanaonesha ushirikiano ikiwemo kucheza na mtoto (kama nikienda naye).

Juzi nilienda na bima,Mapokezi nilijaribu kuwafurahisha kama awali ila response 0,kwenye vipimo wakanishauri nipime vipimo vingi,tatizo nilipewa dawa kama za mgao wa wakimbizi.

Pilton kapakti kamoja, palacetamol kamoja na robo na dawa zingine wakasema hawana na hapo wameziandika kwenye ile form ya bima
 
Baadh ya hospital washenz mno


Nilienda kumuona Dr. na nikamuomba nataka kupima malaria kulingana na namna ninavyojisikia

Tukafanya maongez km dkk3 hv mwishowe nikaona isiwe tabu nikamkubalia tufanye km anavyoshaur


Nikapimwa malaria,UTI,taifod,wingi wa damu+grupu la damu nikapigwa na ultra sound mwishowe nikapewa dawa mfuko ule unaouzwa mia tano umejaa


Matibab kwa bima ni changamoto sana
Ungeenda nawe kufungua duka la dawa maana ulikuwa tayari una mtaji wa dawa mfuko mzima.
Walikupa fursa kubwa sana washukuru aisee..
 
Habari wanaJF.

Hospitali nyingi hawapendi kutumia Bima ya afya kwa madai ya kuwa wanachelewesha kulipwa hela zao na hivyo kushindwa kuendesha ofisi.

Ukienda na bima wahudumu wengi wanakuwa wakali na hata wakitoa huduma inakuwa mbaya sana.

Serikali ni kwanini kuna tatizo hili na mpaka sasa kwanini hamtaki kuchukua hatua maana tatizo limekuwa sugu sana.
Wao walikuwa wanaandika taarifa zisizo sahihi ndio maana wamebanwa kibao kimegeuka wezi hao wameibia sana serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baadh ya hospital washenz mno


Nilienda kumuona Dr. na nikamuomba nataka kupima malaria kulingana na namna ninavyojisikia

Tukafanya maongez km dkk3 hv mwishowe nikaona isiwe tabu nikamkubalia tufanye km anavyoshaur


Nikapimwa malaria,UTI,taifod,wingi wa damu+grupu la damu nikapigwa na ultra sound mwishowe nikapewa dawa mfuko ule unaouzwa mia tano umejaa


Matibab kwa bima ni changamoto sana

[emoji23][emoji23][emoji23] bongo nyoso
 
Habari wanaJF.

Hospitali nyingi hawapendi kutumia Bima ya afya kwa madai ya kuwa wanachelewesha kulipwa hela zao na hivyo kushindwa kuendesha ofisi.

Ukienda na bima wahudumu wengi wanakuwa wakali na hata wakitoa huduma inakuwa mbaya sana.

Serikali ni kwanini kuna tatizo hili na mpaka sasa kwanini hamtaki kuchukua hatua maana tatizo limekuwa sugu sana.
Njoo kwetu bima za afya tuna encourage na tunawaheshimu. Karibuni sana kwetu

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Habari wanaJF.

Hospitali nyingi hawapendi kutumia Bima ya afya kwa madai ya kuwa wanachelewesha kulipwa hela zao na hivyo kushindwa kuendesha ofisi.

Ukienda na bima wahudumu wengi wanakuwa wakali na hata wakitoa huduma inakuwa mbaya sana.

Serikali ni kwanini kuna tatizo hili na mpaka sasa kwanini hamtaki kuchukua hatua maana tatizo limekuwa sugu sana.
Wajinga tu.nchi zilizoendelea mostly hawtumii cash.lazima uijali Afya yako kabla hujaumwa, so lazima ukatie Afya yako bima.nchi kama marekani utafia KWENYE benchi na cash yako ya kuungaunga.
 
Baadh ya hospital washenz mno


Nilienda kumuona Dr. na nikamuomba nataka kupima malaria kulingana na namna ninavyojisikia

Tukafanya maongez km dkk3 hv mwishowe nikaona isiwe tabu nikamkubalia tufanye km anavyoshaur


Nikapimwa malaria,UTI,taifod,wingi wa damu+grupu la damu nikapigwa na ultra sound mwishowe nikapewa dawa mfuko ule unaouzwa mia tano umejaa


Matibab kwa bima ni changamoto sana
Halafu walivyo washenzi utaona wanaanza kukuambia usaini karatasi kabla hawajaandika dawa na bei zake, sasa ukiwaambia andikeni na dawa na gharama zake ndio nisaini utaona wanavyokuwa wakali utasema umeawaibia. Hii nchi shida sana.
 
Back
Top Bottom