baiser
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,480
- 2,239
Hakuna kitu kinashangaza kama hikoo
Mimi nafahamu bima ndo mtu anakuwa na Hela zake tayari sasa anakuwa anasumbuliwa baada ya kunyenyekewa
Watu wenye bima tunaonekana tuna maisha magumu kuliko wenye cash na tunaonekana kama tunapewa misaada wakati tumeweka pesa zetu
Mimi nafahamu bima ndo mtu anakuwa na Hela zake tayari sasa anakuwa anasumbuliwa baada ya kunyenyekewa
Watu wenye bima tunaonekana tuna maisha magumu kuliko wenye cash na tunaonekana kama tunapewa misaada wakati tumeweka pesa zetu