DOKEZO Hospitali ya K’s Mbeya mna huduma mbovu

DOKEZO Hospitali ya K’s Mbeya mna huduma mbovu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Jengo kubwa, huduma sifuri
Dah basi imebadilika Sana kama ndio hivyo ilkua hospitali smart Sana mwaka 2001 nimeugulia hapa almost mwaka mzima huduma ilkua nzuri Sana. Madaktari vijana wanachangamoto Sana aisee Mie kuna hospitali moja Kigoma MAC-REN niliwahi kaa saa nzima jamaa anapiga Stori tuu na demu na kuchekacheka tuu nlisepa na majibu ya maabara na sikuwahi kurudi tena
 
Back
Top Bottom