Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
Nasalimia kwa jina la Muumba aletaye uzima na kifo.
Mhusika: miaka 17.
Kazi: mwanafunzi.
Jinsia: ke.
Tatizo: mcho hawezi kuangalia mwanga.
Hali yake: critical, hawez kusoma.
Ombi: wapi napata huduma ya tiba ya macho kwa bei ya mtanzania wa kipato cha chini asiye na bima.
Mhusika: miaka 17.
Kazi: mwanafunzi.
Jinsia: ke.
Tatizo: mcho hawezi kuangalia mwanga.
Hali yake: critical, hawez kusoma.
Ombi: wapi napata huduma ya tiba ya macho kwa bei ya mtanzania wa kipato cha chini asiye na bima.