Hospitali ya Mloganzila imeanza kupokea wagonjwa kutoka nje ya nchi

Hospitali ya Mloganzila imeanza kupokea wagonjwa kutoka nje ya nchi

powercert_Tz

Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
45
Reaction score
44
Kutokana na juhudi za serikali kuboresha huduma za afya nchini, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili-Mloganzila imeanza kupokea wagonjwa kutoka nje ya nchi wanaofuata huduma za kibingwa, ikiwemo huduma tiba ya kuweka puto kwenye tumbo la chakula (Intragastric balloon), ili kusaidia watu wenye uzito mkubwa kupungua.

Huduma hiyo na huduma nyingine za kibingwa zilizoboreshwa zimesababisha ujio wa wageni kutoka nchi jirani kuja kupata tiba nchini. Ujio wa wageni, unadhihirisha kwamba sekta ya afya imeimarika kwa kiasi kikubwa, hivi kwamba inauwezo wa kuhudumia Watanzania pamoja na wageni. Kuimarika kwa sekta hii kunatokana na juhudi za serikali ya awamu ya sita kuweka na kusimamia vyema utekelezaji wa bajeti ya sekta ya afya ambayo imetumika vyema katika kununua vifaa tiba na kujenga vituo vidogo vya afya (zahanati) karibu na wananchi. Pongezi kwa Rais Samia na serikali yake kweli #mamayukokazini​
 
Kutokana na juhudi za serikali kuboresha huduma za afya nchini, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili-Mloganzila imeanza kupokea wagonjwa kutoka nje ya nchi wanaofuata huduma za kibingwa, ikiwemo huduma tiba ya kuweka puto kwenye tumbo la chakula (Intragastric balloon), ili kusaidia watu wenye uzito mkubwa kupungua.

Huduma hiyo na huduma nyingine za kibingwa zilizoboreshwa zimesababisha ujio wa wageni kutoka nchi jirani kuja kupata tiba nchini. Ujio wa wageni, unadhihirisha kwamba sekta ya afya imeimarika kwa kiasi kikubwa, hivi kwamba inauwezo wa kuhudumia Watanzania pamoja na wageni.

Kuimarika kwa sekta hii kunatokana na juhudi za serikali ya awamu ya sita kuweka na kusimamia vyema utekelezaji wa bajeti ya sekta ya afya ambayo imetumika vyema katika kununua vifaa tiba na kujenga vituo vidogo vya afya (zahanati) karibu na wananchi. Pongezi kwa Rais Samia na serikali yake kweli #mamayukokazini
 
Una uhakika ni juhudi za awamu ya sita peke yake umesahau juhudi za awamu ya NNE kutafuta eneo LA ujenzi
 
Kutokana na juhudi za serikali kuboresha huduma za afya nchini, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili-Mloganzila imeanza kupokea wagonjwa kutoka nje ya nchi wanaofuata huduma za kibingwa, ikiwemo huduma tiba ya kuweka puto kwenye tumbo la chakula (Intragastric balloon), ili kusaidia watu wenye uzito mkubwa kupungua.

Huduma hiyo na huduma nyingine za kibingwa zilizoboreshwa zimesababisha ujio wa wageni kutoka nchi jirani kuja kupata tiba nchini. Ujio wa wageni, unadhihirisha kwamba sekta ya afya imeimarika kwa kiasi kikubwa, hivi kwamba inauwezo wa kuhudumia Watanzania pamoja na wageni.

Kuimarika kwa sekta hii kunatokana na juhudi za serikali ya awamu ya sita kuweka na kusimamia vyema utekelezaji wa bajeti ya sekta ya afya ambayo imetumika vyema katika kununua vifaa tiba na kujenga vituo vidogo vya afya (zahanati) karibu na wananchi. Pongezi kwa Rais Samia na serikali yake kweli #mamayukokazini
Mbona KCMC Moshi inamiaka inapokea wagonjwa toka nje ya nchi kwa kutumia Flying Doctors.
Usitumie muda wote ndani ya JF wakati mwingine toka nje ujue mambo.
 
Mbona KCMC Moshi inamiaka inapokea wagonjwa toka nje ya nchi kwa kutumia Flying Doctors.
Usitumie muda wote ndani ya JF wakati mwingine toka nje ujue mambo.
Kaka dhamira yangu ni kupongeza juhudi zinazo fanywa na serikali ya sasa. Badala ya kua na mtazamo hasi kila wakati, wakati mwingine tunapaswa kutambua na kupongeza juhudi zinazofanywa na serikali. Tuwe na mitazamo chanya, kama KCMC ilikua inapokea toka zamani sasa hivi hata Mloganzila wanapokea. Ukiona hivyo ujue kuna juhudi zinafanyika na kuna hatua tunapiga.
 
Mbona KCMC Moshi inamiaka inapokea wagonjwa toka nje ya nchi kwa kutumia Flying Doctors.
Usitumie muda wote ndani ya JF wakati mwingine toka nje ujue mambo.
Mkuu huyu ni chawa tu....na aliemtuma anajulikana....achana nae....fanya mambo yako...
 
Kutokana na juhudi za serikali kuboresha huduma za afya nchini, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili-Mloganzila imeanza kupokea wagonjwa kutoka nje ya nchi wanaofuata huduma za kibingwa, ikiwemo huduma tiba ya kuweka puto kwenye tumbo la chakula (Intragastric balloon), ili kusaidia watu wenye uzito mkubwa kupungua.

Huduma hiyo na huduma nyingine za kibingwa zilizoboreshwa zimesababisha ujio wa wageni kutoka nchi jirani kuja kupata tiba nchini. Ujio wa wageni, unadhihirisha kwamba sekta ya afya imeimarika kwa kiasi kikubwa, hivi kwamba inauwezo wa kuhudumia Watanzania pamoja na wageni. Kuimarika kwa sekta hii kunatokana na juhudi za serikali ya awamu ya sita kuweka na kusimamia vyema utekelezaji wa bajeti ya sekta ya afya ambayo imetumika vyema katika kununua vifaa tiba na kujenga vituo vidogo vya afya (zahanati) karibu na wananchi. Pongezi kwa Rais Samia na serikali yake kweli #mamayukokazini​
watakao toka nje watatibiwa lakini mimi masikini nitakufa naugonywa wangu kisa sina hela ubaguzi mtupu
 
Hivi kumbe ni awamu ya sita ndyo imefanya hayo mambo?🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom