Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sasa tusipojenga kila mara pesa ya kupiga tutaitoa wapi Mkuu hebu kausha wkanza tumalize kula acha kutuharibiaHivi haiwezekani kutafuta maeneo mapya na ikajengwa Hospitali Mpya kuliko kukarabati Hospitali moja kila baada ya muda mfupi?
Au mimi kuna kitu sielewi?
View attachment 2989926
Aiseeee!!! basi haya.Uwekezaji wa hospital mpya kubwa kama muhimbili ni zaidi ya hiyo 500B.
Location ya muhimbili imekaa sehemu sahii sana.
Tunaweza kuendelea kuwekeza muhimbili huku tunajenga hospital nyingine kama Mloganzila na ile ya Dodoma au Mtwara.
Muhimbili ni hospital ya kimataifa so lazima iboreshwe zaidi.
Utalii wwa afya unalipa sana.
Asante kwa kushirikiCHADEMA kila kitu mnapinga.
Mlitaka hiyo pesa mpewe mkaandamane au?
Uwekezaji wa hospital mpya kubwa kama muhimbili ni zaidi ya hiyo 500B.
Location ya muhimbili imekaa sehemu sahii sana.
Tunaweza kuendelea kuwekeza muhimbili huku tunajenga hospital nyingine kama Mloganzila na ile ya Dodoma au Mtwara.
Muhimbili ni hospital ya kimataifa so lazima iboreshwe zaidi.
Utalii wwa afya unalipa sana.
Hivi haiwezekani kutafuta maeneo mapya na ikajengwa Hospitali Mpya kuliko kukarabati Hospitali moja kila baada ya muda mfupi?
Au mimi kuna kitu sielewi?
View attachment 2989926
wewe ni mfu? hujui tofauti ya kupinga na kuhoji mpaka leo? ,mtu akihoji jambo badala ya kumjibu unasema ana pinga na ni cdm? huko ulipo wewe mnakubaliana kila kitu?CHADEMA kila kitu mnapinga.
Mlitaka hiyo pesa mpewe mkaandamane au?
ππππwewe ni mfu? hujui tofauti ya kupinga na kuhoji mpaka leo? ,mtu akihoji jambo badala ya kumjibu unasema ana pinga na ni cdm? huko ulipo wewe mnakubaliana kila kitu?
ni wafu ndiyo hawahoji
Bwana 'Tumbili' Dalali Mkuu wa serikali hajazungumzia hili au hajapewa maelekezo toka juu?Wataalamu wa Lugha mtusaidie ni kujenga upya au kukarabati upya?
Bilioni 500 nusu ya trilioni. Ni pesa nyingi!
Tunafahamu umuhimu wa hospital hii ila serikali ingeangalia namna ya kuongeza hospital nyingine kubwa zenye hadhi ya kulingana au zinazokaribiana na Muhimbili.
Ingesaidia kuongeza ajira haswa kwa vijana, na huduma za afya zenye uhakika.
Pia nitarudi,na kutafuta 500BMmmmhhh! Nitarudi
Mbona tumeambiwa ni trionHivi haiwezekani kutafuta maeneo mapya na ikajengwa Hospitali Mpya kuliko kukarabati Hospitali moja kila baada ya muda mfupi?
Au mimi kuna kitu sielewi?
View attachment 2989926
Ni kweli, hiyo ni mpyaMbona tumeambiwa ni trion