Hospitali ya Mzena inamilikiwa na nani? Kwanini iitwe Mzena?


Hospital ya usalama wa taifa oale kijitonyama wana hospitali yao kubwa tu mzena ndo mpango mzima na wametengewa jengo lao kabs muhimbili ni kama pharmacy tu kwao
 
Maji yaliyopita usiku yalikataa kuchotwa mchana
 
Ipo pale usalama makumbusho kupita pale getini si mchezo
 
Hospital ya usalama wa taifa oale kijitonyama wana hospitali yao kubwa tu mzena ndo mpango mzima na wametengewa jengo lao kabs muhimbili ni kama pharmacy tu kwao
Wanaozimia kwenye uchunguzi wanaenda kupepewa hapo. Mtoa mada kama amepapenda atafute mambo magumu halafu wamuweke kati mpaka akizimia. Ataijua hiyo hospital iko wapi
 
Ipo kusikojulikana mkuu
 
Hospital Ipo Hapo Maeneo Ya Hapo Ilipo Millennium Tower, Hadi Merry Water Hilo Eneo
 
Kako kahospital ambako kako masaki kana bei hako hatari sana / huduma zake ni za #WORLD-CLASS.
 
Viongozi wa nchi wewe huna nafasi ya kumuona ukiwa mgonjwa isipokuwa ndugu zake na viongozi wa daraja lake. Acha umbea maana mlivyo wambea hata mkiona ufa kidogo kwenye geti utasema hospitali ya viongozi inaporomoka.
 

Asante kwa deatails
 
Ukiwa na bima za kawaida? Na pale getini unapitaje?[/QUOTE]Kama si mwanafamilia husika hutibiwi mpaka ruhusa maalumu hata kama una bima. Hii ni ya wenyewe wao kama wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…