GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Huu ni uzembe wa hali ya juu, yaani uishi na mtu miaka yote hiyo usijue kazi yake ya siri.Kuna yule mama UK ndoa miaka 40, amekuja Gunduwa kazi ya mumewe baada ya kufariki na kuzikwa[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uzembe wa hali ya juu, yaani uishi na mtu miaka yote hiyo usijue kazi yake ya siri.Kuna yule mama UK ndoa miaka 40, amekuja Gunduwa kazi ya mumewe baada ya kufariki na kuzikwa[emoji23]
Kama msosi tuu unakutoa mate.Nimewahi kuingia Mzena kwa tiketi ya ndugu zangu kadhaa ambao ni maafisa vipenyo.
Mule ndani acha kabisa, kuna mambo mengi mazito, nilishangaa kukuta sheli kubwa sana ya mafuta mita chache kabla ya hospitali (kwa ajili ya maafisa ku-fuel magari yao).
Wakati flani nikiwa nauguza mmoja wa ndugu zangu, ilipofika muda wa chakula nikafatwa na jamaa mmoja akaniuliza utajisikia kula nini mchana! Nikaanza kukodoa. Akaniambia wanatoa chakula bure kwa watu wanaokuja kutembelea na kuuguza wagonjwa wao, akanipa menu..aisee ni vyakula vya hatari! Nilipotoa order nikaletewa msosi murua kabisa halafu mwingi, ukanishinda hata kumaliza.
Chumba cha mgonjwa tu ni kama sebule, kikubwa kina kila kitu. Aisee kile kitengo kinajipendelea sana. Najuta kwanini nilikataa kuingia huko kipindi hicho [emoji2960][emoji28]
Code yake Military....x 3
Acheni Fantasy ni Hospital ya kawaida sana na haina facility nyingi wala wataalam
Kwa viongozi kulazwa hapo ni kama first aid tu na temporary recover
Ndio maana viongozi wanapelekwa JKCI au MNH where kuna facility za kutosha na wataalam
Huyo Mwinyi alianzia Mzena kisha akahamishwa JKCI alipofia same as
JPM na Ben
pia na wengineo
Kuna haja Hosp ya Mzena ipewe Facilities za na uwezo; waajiri au wakasomeshe experts
JKCI na MNH viongozi wakilazwa hapo huwa taarifa zao zinavuja snaa from unethical workers.
Info za mwinyi, JPM , lowasa kuwa weshakata moto long Time zilianzia JKCI , watu wanapeana taarifa na washikaji zao mzeee keshakata moto au mzeee hatoboi
Hili liangaliwe. Hivyo vi medical practitioners wa hapo ni uharo and unethically takataka
Mwiko no 1 kwa any Agent ni kujulikana yeye ni nani kwa Yeyote yule ambae sio agent ajalishi ni mkeo au nani.Ma agent wa huku Manzese wengine wakilewa tu wanajitaja kwa sifa na wengine wanatoa Service Hand Guns ili wajulikane😂 Mwamba huyu hapa:Huu ni uzembe wa hali ya juu, yaani uishi na mtu miaka yote hiyo usijue kazi yake ya siri.
Hiyo screenshot umeipata link gani Mkuu. Kuna hospitali nyingi nimekuwa natafuta taarifa zake kama hizo.
Huu ni ubaguzi😅😅😅
Mkuu hapo Ni kwa ajili ya Viongozi wa Juu sana wa kitaifa na Pia kwa ajili ya TISS na ndo maana Ipo karibu na TISS
Hahaha, presha ita mpanda aisee.Mpaka umalize kujibu maswali ushazidiwa na ugonjwa wenyewe
uko sahihi ila Kwasasa Tuwaachie wahusika!!Hapo zonal level, kwanini sio Kairuki hospital iliyo Karibu zaidi?
nenda utalazwa kitanda alicholalia mzee MAGU!!Sijisikii vizuri Wakuu, kesho nataka kufanya checkup.
Nipeni mwongozo wa kuingia hapo hospitali ya Mzena kufanya matibabu.
Mode of payment nimepanga kutumia kadi ya NHIF.
Unachokitafuta utakipata,,, we shika hizo sharubu!!Sijisikii vizuri Wakuu, kesho nataka kufanya checkup.
Nipeni mwongozo wa kuingia hapo hospitali ya Mzena kufanya matibabu.
Mode of payment nimepanga kutumia kadi ya NHIF.
Hiyo Hospital au Mochwari??Ni Hospital kwa ajili ya Viongozi wa juu Serikalini na Family Za Idara tu ndiyo wanaruhusiwa kupata tiba
Ila inaonekana mochwari yake ipo busy sanaHiyo Tofauti na Lugalo Mkuu..
Unaweza ukatibiea Hospitali zote za Jeshi ila sio Hospitali Hizo za High Rank Officals
Hawana Mochwari Mkuu..Ila inaonekana mochwari yake ipo busy sana
Magufuli ilifika Kipindi hata Usalama alikuwa hawaamini Tangu aliponyweshwa sumu 😆😆unyafunyafu tu.
kwanini magufuli akapelekwa kenya na tuna hospital muhimu kabisa isiyo busy ila kwa majukumu hayo tu ya viongozi!!!
Umeongea kitu kikubwa sanaUKOSEFU WA FURAHA (HUZUNI) UNASABABISHWA NA AKILI, NAMNA UNAVYOZIDI KUELEWA BAADHI YA MAMBO NDIVYO UNAVYOTAMANI USINGEVIELEWA KABISA VITU HIVYO... USIITAFUTE HUZUNI KWA KUTAKA KUJUA KILA JAMBO😊
Uchokozi huu mkuuKama msosi tuu unakutoa mate.
Usingefaa huko.