Hospitali ya Mzena wanapokea bima ya NHIF?

Kama msosi tuu unakutoa mate.

Usingefaa huko.
 

Huu ni uzembe wa hali ya juu, yaani uishi na mtu miaka yote hiyo usijue kazi yake ya siri.
Mwiko no 1 kwa any Agent ni kujulikana yeye ni nani kwa Yeyote yule ambae sio agent ajalishi ni mkeo au nani.Ma agent wa huku Manzese wengine wakilewa tu wanajitaja kwa sifa na wengine wanatoa Service Hand Guns ili wajulikane😂 Mwamba huyu hapa:

View: https://www.bbc.com/news/av/uk-england-wiltshire-48676443#:~:text=Audrey%20and%20Glyn%20Phillips%20were,his%20role%20within%20Operation%20X%2DX.
 
unyafunyafu tu.

kwanini magufuli akapelekwa kenya na tuna hospital muhimu kabisa isiyo busy ila kwa majukumu hayo tu ya viongozi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…