Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaumwa Raha Unaipataje Na Hayo Maumivu MkuuNa madokta wake hiko kitengo wako wacool sana..
Unatibiwa mpk unasikia raha
Ni Hospital nzuri ( hasa kwa Tiba na Madaktari Bingwa Wao ambao Wengi wanatokea Muhimbili National Hospital ), ila Ushauri Watu wa Kitengo cha Physiotherapy wabadilike kwani baadhi yao hutoka na Mihasira yao Kwao na kuja nazo hadi kwa Wagonjwa wanaowahudumia na Kuwatibu kwa Hasira, Kukomoa hadi Wengine hutoneshwa Majeraha yao.hii hospital mnaonaje ni nzuri kwa matibabu ya mifupa?
Unaumwa Raha Unaipataje Na Hayo Maumivu Mkuu
Kuna kitu si bure!Unatibiwa na ile caring mpk unapata nafuu
Hospital majengo?Hospitali ni kubwa. Nenda katibiwe
Nani kakwambia majengo?Hospital majengo?
NAam jamaa wako vizuri sana.Hii hospital mnaonaje ni nzuri kwa matibabu ya mifupa?
Complications baada ya surgery ni kawaida, kuliko uruhusiwe utoke hospital ukiwa bado haujapona ni bora uvumilie watibu kila kitu, wao ni wasomi wameona kuna changamoto, usiangalie pesa ,angalia mgonjwa anapata nini, ni ushauri tu...nimemlaza mgonjwa wangu chumba laki 1 lakini leo wiki ya pili operation imeisha mara damu imepungua mara tunaangalia infaction sehemu ya operation kama ipo naona siku zinaenda tuu milion 2 zimefika za chumba tu, kwani hawezi kuruhusiwa tukawa tunamleta kuchekiwa, ukiwabie ndio utasikia damu imepunguwa mara tunaangalia infanction kama ipo