Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kwani dawa na vipimo huko hospital unapewa bure?Ni Iringa hapa, tena Regional referral hospital, nimeshangaa sana au ndio Yale mambo ya halmashauri hayo, miradi inajengwa kwa fedha zetu ila unalipia tena kuitumia...
Inasikitisha sana yaani hii nchi imelaaniwa sana.Halmashauri zina mambo mengi sana ya kienyeji
Nanunua mkuu ila kwa Nini choo nilipieKwani dawa na vipimo huko hospital unapewa bure?
Wanatoza sh 300 na hawatoi risiti yoyote. Binti anayepokea hela anasema amewekwa na dada yake ambaye hafanyi kazi hospitali.Ni kwa kuwa hao hao wa hosp ndiyo wenye tenda ya usafi.
Serikali haina watu wabuni, huwezi kuweka choo kuwa chanzo cha mapato maanake unachochea uchafuzi wa mazingiraNi Iringa hapa, tena Regional referral hospital, nimeshangaa sana au ndio Yale mambo ya halmashauri hayo, miradi inajengwa kwa fedha zetu ila unalipia tena kuitumia...
Inasikitisha sana yaani hii nchi imelaaniwa sana.Halmashauri zina mambo mengi sana ya kienyeji
Huo ni mchongo wa wakubwa wa hiyo hospitalWanatoza sh 300 na hawatoi risiti yoyote. Binti anayepokea hela anasema amewekwa na dada yake ambaye hafanyi kazi hospitali.
unakula chakula cha elf10 kuchangia huduma kwa mia 3 ku-download uchafu unaona taabu bac kaeni na mizigo yenuNi Iringa hapa, tena Regional referral hospital, nimeshangaa sana au ndio Yale mambo ya halmashauri hayo, miradi inajengwa kwa fedha zetu ila unalipia tena kuitumia...
Inasikitisha sana yaani hii nchi imelaaniwa sana.Halmashauri zina mambo mengi sana ya kienyeji
Ni ndoto mbaya tu...tunaendelea kulalaπ΄π΄π΄ππππ ni kama wabongo mmeanza kuamka hivi!
Dawa zinanunuliwa kwa kodi za serikali na choo kinajengwa kwa kodi za serikali sasa kama unalipia huko kwingine kwa nini ukatae kulipia choo?Nanunua mkuu ila kwa Nini choo nilipie
Shida yako nini ? Si umeshajisaidiaWanatoza sh 300 na hawatoi risiti yoyote. Binti anayepokea hela anasema amewekwa na dada yake ambaye hafanyi kazi hospitali.
Kwa Nini hawatoi risitiShida yako nini ? Si umeshajisaidia
Mbona una gubu
Umeenda hapo chooni kujisaidia au kufuata risiti?Kwa Nini hawatoi risiti