Hospitali ya Taifa Muhimbili na urasimu wa kutoa Medical Report

Hospitali ya Taifa Muhimbili na urasimu wa kutoa Medical Report

Ni mtu wa hovyo kweli kweli maana hili swala la medical report hata mimi limenikuta.Maana kuna kipindi nlikuwa mgonjwa nyumbani nikawa natibiwa na Bima wakuu wangu walitaka Medical report so ili nilazimu nilipie laki kama ilivyo.Unaenda kuandikiwa report na Dokta ukiingia ndani anakujibu subiri amalize kuwa tibu wagonjwa wote Report ataandika mwisho.Ukisubiria mpaka mwisho baada ya kukuandikia report ukienda kwa wale makarani wakuchapie una wakuta wamefunga wanakwambia njoo kesho.

Kesho ukienda ana kuchapia tena vizuri ukienda kwa Dokta wako kwa ajili ya kusaini ana kujibu subiri amalizie wagonjwa wake kuwatibu.Ukienda mwisho baada ya kuwatibu wagonjwa wake anasoma hiyo riport anagundua tena karani kakosea Grammaly na utaratibu ya uwandishi.Unarudi tena karani unaambiwa kaenda kula una kaa unamsubiri akitoka kula ana kujibu muda umeenda sana hiyo kazi ataifanya kesho....

Any way acha niishie hapo tuu maana sitotaka kukumbuka zile taabu.

Inasikitisha sana
 
Habari za Mchana!
Utaratibu wa kulipia Medical Report umekuwepo takribani miaka mitano iliyopita. Haukuanzishwa na Prof. Janabi.

Kuhusu kuchelewa kupatikana Report hiyo, tumelichukua jambo hili ili kuliboresha zaidi.

Asanteni

Aminiel Aligaesha
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano
Hospitali ya Taifa Muhimbili
0784 648646

Punguzeni gharama nikubwa sana,kwani nyie sio watanzania?
 
Habari za Mchana!
Utaratibu wa kulipia Medical Report umekuwepo takribani miaka mitano iliyopita. Haukuanzishwa na Prof. Janabi.

Kuhusu kuchelewa kupatikana Report hiyo, tumelichukua jambo hili ili kuliboresha zaidi.

Asanteni

Aminiel Aligaesha
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano
Hospitali ya Taifa Muhimbili
0784 648646
Ninyi ni majizi kama majizi wengine tu, Medical Report ni taarifa ya Afya/Maendeleo ya Afya ya mhusika baada ya matibabu yake,sasa kama alilipia gharama za matibabu,iweje tena mumtoze pesa kumpa kikarati kinachoelezea matibabu aliyopata na maendeleo yake?
 
Ni mtu wa hovyo kweli kweli maana hili swala la medical report hata mimi limenikuta.Maana kuna kipindi nlikuwa mgonjwa nyumbani nikawa natibiwa na Bima wakuu wangu walitaka Medical report so ili nilazimu nilipie laki kama ilivyo.Unaenda kuandikiwa report na Dokta ukiingia ndani anakujibu subiri amalize kuwa tibu wagonjwa wote Report ataandika mwisho.Ukisubiria mpaka mwisho baada ya kukuandikia report ukienda kwa wale makarani wakuchapie una wakuta wamefunga wanakwambia njoo kesho.

Kesho ukienda ana kuchapia tena vizuri ukienda kwa Dokta wako kwa ajili ya kusaini ana kujibu subiri amalizie wagonjwa wake kuwatibu.Ukienda mwisho baada ya kuwatibu wagonjwa wake anasoma hiyo riport anagundua tena karani kakosea Grammaly na utaratibu ya uwandishi.Unarudi tena karani unaambiwa kaenda kula una kaa unamsubiri akitoka kula ana kujibu muda umeenda sana hiyo kazi ataifanya kesho....

Any way acha niishie hapo tuu maana sitotaka kukumbuka zile taabu.
Hospitali kubwa kama hiyo, haina mfumo wa kuandaa medical report automatically? Hadi andike manually..
 
Punguzeni gharama nikubwa sana,kwani nyie sio watanzania?
Hawa ni Watanzania daraja la kwanza, hawana shida yoyote, wanakula mishahara minono, wanapewa hadi bima za ma house attendants, kutuzungusha kwa mambo madogo wao wanaona raha, ukiwapa rushwa wanapokea.
 
Hospitali kubwa kama hiyo, haina mfumo wa kuandaa medical report automatically? Hadi andike manually..
Yaap doctor anaandika manualy tena kwa kusoma mtiriko wa matibabu aliyo kuwa anakutibu pamoja na dawa alizo kuwa ana kuandikia kupitia computer yake.Then inaendwa kuchapiwa kwa wale makarani wa hosp
 
Back
Top Bottom