Hospitali ya Taifa Muhimbili yatoa neno baada ya vitanda kuonekana nje

Hospitali ya Taifa Muhimbili yatoa neno baada ya vitanda kuonekana nje

Kuweka mahema na kujudumia wagonjwa nje sio kosa huu ni ubunifu na kuonyesha jinsi hospitali zinavyopambana kuhudumia wagonjwa hata kama wamezidiwa. Hii hata tumekuwa tukiona hospitali za nchi nyingne zikifanya.
 
Hii nchi bana...., Yaani kila mtu Msanii...
 
Kupulizia muhimu wodi wanalazwa watu wenye migonjwa ya kila namna ya ngozi ya upele ya vifua vikuu nk lazima muda upulizie dawa.Ukiingia ofisi kama za Chadema huwa hawapulizii dawa kuna siku nimeingia pale makao makuu kama mwandishi wa habari nilikohoa mfulululizo sijawahi rudi tena
Ficha ujinga wako! Hospitali hazilazi wagonjwa hovyo hovyo tu, bali zinalaza kulingana na aina za maradhi.

Umedhihirisha ukanjanja wako!
 
Kupulizia muhimu wodi wanalazwa watu wenye migonjwa ya kila namna ya ngozi ya upele ya vifua vikuu nk lazima muda upulizie dawa.Ukiingia ofisi kama za Chadema huwa hawapulizii dawa kuna siku nimeingia pale makao makuu kama mwandishi wa habari nilikohoa mfulululizo sijawahi rudi tena
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji28] itakua ushaanza route za kwampalange ww
 
Kupulizia muhimu wodi wanalazwa watu wenye migonjwa ya kila namna ya ngozi ya upele ya vifua vikuu nk lazima muda upulizie dawa.Ukiingia ofisi kama za Chadema huwa hawapulizii dawa kuna siku nimeingia pale makao makuu kama mwandishi wa habari nilikohoa mfulululizo sijawahi rudi tena
Sio ulipaliwa mate,kwani hukupewa hata huduma ya kwanza,au ulijitambulisha unatoka mtaa wa kijani.
 
Kupulizia muhimu wodi wanalazwa watu wenye migonjwa ya kila namna ya ngozi ya upele ya vifua vikuu nk lazima muda upulizie dawa.Ukiingia ofisi kama za Chadema huwa hawapulizii dawa kuna siku nimeingia pale makao makuu kama mwandishi wa habari nilikohoa mfulululizo sijawahi rudi tena

Wewe ccm imeharibu ubongo wako
 
Mnajua kuwa tuna watoto wetu wanafanya kazi hapo. Tunapukutika mnakana hakuna corona
Kwanza Huyo mtoto wako.. Hana maadili. Hatunzi siri za wagonjwa..
Pili mi nipo muhimbili hapa nashangaa sana kuona mwananchi wa kawaida anapotoa taarifa ambayo haijaichunguza wala kuuliza lengo LA kufanya hivyo... Anafanya hivyo ili kuzua taharuki..
 
Hiyo ni kweli kabisa. Asiyetaka kuamini hilo ni tatizo lake binafsi.
 
View attachment 1703501
View attachment 1703502
Hospitali ya Taifa Muhimbili imesema kuwa huwa inao utaratibu wa kupuliza dawa ya kuuwa wadudu karibu maeneo yote ya hospitali na kwamba wakati wa zoezi hilo wagonjwa hutolewa nje na kuwekwa chini ya mahema.

Kauli hiyo imetolewa kupitia ukurasa wa mtandao wa Twitter wa hospitali hiyo, baada ya picha kusambaa mitandaoni zikionesha vitanda vya hospitali hiyo vikiwa vimetolewa nje na kuwekwa kwenye mahema.

"Hospitali ina kawaida ya kupuliza dawa ya kuua wadudu mbalimbali wodini, maofisini na maeneo mengine ya nje mara mbili kwa mwaka, wakati zoezi likifanyika, wagonjwa hutolewa nje na kuwekwa chini ya mahema huku huduma nyingine zikiendelea, hili ni zoezi la kawaida na endelevu", imeeleza taarifa hiyo.
Hivi kwani tukiwa wakweli itakuwaje? Kazi ziendelee lkn tuchukue taadhari zote.
 
Back
Top Bottom