Hospitali ya Taifa Muhimbili yatoa ufafanuzi hoja ya Mdau kuhusu "Huduma zake ni janga kwa Wagonjwa"

Gharama za kitanda kwa siku hazijajibiwa,
 
Rushwa, ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za Kodi za Wananchi huko Serikalini ndio chanzo kikuu cha haya madhila yote katika nchi ya Tanzania ikiwamo na kudorora kwa huduma mbaya na duni kabisa za afya hapa nchini. Serikali ina uwezo kabisa wa kutoa huduma za Afya bure kabisa bila malipo endapo kama vitendo viovu vya rushwa, ufisadi na ufujaji wa Kodi vitakomeshwa hapa nchini.
Nakumbuka huko miaka ya nyuma wakati huo nilipokuwa naishi kwenye Moja ya nchi fulani hivi, Wahamiaji wote wa kimataifa ambao tulikuwa na Visa halali za kuishi kwenye nchi hiyo tulikuwa tunapata huduma A Afya bure kabisa bila malipo yoyote yale sawasawa na raia wazawa wa nchi hiyo ilahi sisi tulikuwa ni Wahamiaji tu kwenye hiyo nchi.
Huduma zote za matibabu tulikuwa tunapata bure kabisa bila malipo yoyote Yale.
 
Nakuhutaji kwenye huu uzi
 
Umeandika vitu viwili;
1. Rushwa ,ufisadi na wizi wa Kodi za wananchi
i.e. nakubaliana Hilo endapo vitendo hivyo vitakomeshwa pesa nyingi sana itaokolewa na itasaidia katika upatikanaji wa huduma Bora kwa gharama nafuu au Bure kabisa kama ilivyokuwa enzi za utawala wa awamu ya kwanza.

2. Umeandika ulipoishi ughaibuni kama mmataifa mlipata huduma.za afya Bure hapa Mkuu naomba tutofautishe nchi za ughaibuni na zetu huku Dunia ya tatu huko ughaibuni wao wanajitosheleza na bajeti zao kwa 100% wakati huku kwetu bado bajeti zetu na ukusanyaji WA Kodi ni 40% to 60% vyanzo vyetu vya mapato vimegota,sio rahisi Tena tukawa na uwezo wa kutoa huduma Bure mpaka tutakapomesha wizi wa pesa za Kodi ,kuongeza vyanzo vya mapato na wananchi tukawa na.moyo wa kuchangia Kodi na ushuru kama.watu wa ughaibuni Walivyozoea.
 
PEsa za kununua goli kwa million 5 na million 700 za stars. Kuwapeleka wasanii vacation korea wanatoaga wapi.

Anaway nahitaji maoni yako kwenyu huu uzi
 
Kinachotakiwa mtaje kwa jina mhusika aliyefanya hivyo ikiwezekana kama kuna voice record inapendeza zaidi.
 
Kitanda,A.C,Maji,umeme........though watu hao hao wanajaa gesti kutombana kwa siku elfu gesti elfu 60,
Akitoka hapo anaenda kuvuta mashisha na mapombe makali
 
Kaulizwa mchele anajibu PUMBA.
Kwanini kulazwa kwa siku ni elfu 50?.
Hilo ndo alitaliwa alijibu sio maelezo mengi alafu hamna kitu
 
Mimi nilitaka kujua gharama za Kitanda cha chuma kwa siku ni Tsh ngapi na si kuja na maelezo ya Ustawi wa Jamii tena.
 
Mbona hajatoa ufafanuzi kuhusu gharama wanazotozwa hao wagonjwa? Tena ingekuwa vyema aeleze kila kundi namna wanavyochajiwa.
Halafu huo msamaha anaosema mbona msamaha wenyewe ni kutolipa hela ya kumuona Daktari tu lakini vipimo na dawa mgonjwa anatakiwa alipie? Wasitumie kigezo cha msamaha kufanya ufisadi wakati hakuna msamaha wowote wa maana kwa wagonjwa.
 
Mim nashangaa sana,nikajua kwamba muhimbili itakuwa kimbilio la wananchi masikini lakn ndo kwanza mambo yamekuwa tofauti,yawezekana ni kituoa cha kupga pesa

Ova
 
Siasa tu,nakumbuka kusoma hoja ikiwemo ya kitanda kwa siku mgonjwa anatozwa 50K nilitegemea niione kwenye hicho walichoita ufafanuzi kwamba ni kweli?

Mwanangu alilazwa MNH Upanga nimemtoa juzi lakini nahisi kwa sababu yupo under five kwenye bill sikuona gharama za malazi so sikutozwa ada ya kitanda kasheshe ni sisi watu wazima.
 
Zanzibar huduma za afya ni Bure, x-ray, ultrasound, ct scan MRI zote ni bure ili mradi Dr muhusika akuandikie tu.
 
Mkuu wa nchi anasimamia bajeti ya nchi ya. trilioni 3 kutoa hamasa kwa Timu ya Taifa milioni 700 mbona pesa kidogo sana sio sawa na kununua ma MRI Kwa hospital za rufaa nchi nzima bajeti yake ni mabilioni.

Hao wasanii tusiwabeze ,Dunia ya kwanza usanii unaheshimiwa sana ndio maana Reagan mchekeshaji akawa Rais wa USA hata Zelensiky wa Ukraine ni msanii ndiye. Rais wa Ukraine ,wasanii wetu wanahitaji pongezi na exposure sababu wamedhubutu kujiajiri na kujidharirisha kwenye movie kitu ambacho wengi hasa wasomi hawakiwezi.

Sisi turudi kwa hao jamaa wa Muhimbili Kwa Nini wanatoza gharama kubwa za vitanda,vipimo na dawa?
 
TUpia maoni kwenye huo uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…