A
Anonymous
Guest
Hospitali ya TIBA (zamanı TUMAINI) iliopo Upanga jirani na Diamond Jubilee haichukui wagonjwa wanaotumia bima ya NHIF wiki moja sasa.
Wagonjwa wanarudishwa nyumbani na wengine wanaambiwa walipe cash. Waliokuwa hawana huduma zimesitishwa.
Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu tunaomba waingilie kati hili jambo kwani ugomvi uliopo baina ya Hospitali ya TIBA na NHIF hauleti taswira njema kwa wananchi na hii inachochea wananchi dhidi ya Mhe Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali anayoiongoza.
Wagonjwa wanarudishwa nyumbani na wengine wanaambiwa walipe cash. Waliokuwa hawana huduma zimesitishwa.
Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu tunaomba waingilie kati hili jambo kwani ugomvi uliopo baina ya Hospitali ya TIBA na NHIF hauleti taswira njema kwa wananchi na hii inachochea wananchi dhidi ya Mhe Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali anayoiongoza.