OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,497
- 605
Habari zenu ndugu Napenda kujua ni hospitali gani ntapata huduma ya kupima CTSCAN kwa mkoa wa Dar es salaam.Kwani ninaumwa na daktari alinishauri nikafanye vipimo vya ctscan na ukizingatia natoka mkoani Tabora nimekuja Dar kikazi ya siku moja.ntakuwa Dar siku ya jumatatu tu.Naombeni msaada