friendsofjeykey
Senior Member
- Aug 12, 2010
- 129
- 13
Ukitaka kufa mapema au kuondokewa na jamaa yako wewe wapeleke jamaa zako hospitali hizi.
Regency is even worse maana madaktari huwa wanakimbia mpaka ndugu wa mgonjwa hali ikiwa mbaya. Hivi Blandina Nyoni na wenzie huko wizara ya Afya kwa nini hawataki kusikiliza kilicho wananchi ambao wanazidi kupoteza maisha ya jamaa zao kwenye death chambers hizi?
Regency is even worse maana madaktari huwa wanakimbia mpaka ndugu wa mgonjwa hali ikiwa mbaya. Hivi Blandina Nyoni na wenzie huko wizara ya Afya kwa nini hawataki kusikiliza kilicho wananchi ambao wanazidi kupoteza maisha ya jamaa zao kwenye death chambers hizi?