Hospitali za wilaya zitolewe TAMISEMI zipelekwe kusimamiwa na Wizara ya Afya

Hospitali za wilaya zitolewe TAMISEMI zipelekwe kusimamiwa na Wizara ya Afya

COARTEM

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
3,603
Reaction score
3,658
1. Chini ya TAMISEMI ni full wizi tokea juu hadi wagonjwa kubambikiziwa bills, ati alimradi hospitali zipate chake, cha juu chetu.

2. Kwamba waibiwa hadi wagonjwa taabani wanaoelekea kufa.

3. Hilo #2, hakuna kinachofanyika kulidhibiti hilo. Hospitali zimetekwa nyara na kufanyishwa udalali pasipokuwa na udhibiti wowote
 
Back
Top Bottom