COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,603
- 3,658
Tumeshuhudia mapinduzi makubwa ya Huduma za Afya kwa Hospitali za Rufaa za Mikoa baada tu ya kuhamishiwa chini ya usimamizi wa Wizara ya Afya.
Sasa ili kuleta tija ya huduma Bora za Afya kwenye Hospitali za Wilaya nashauri Hospitali za Wilaya pia Zisimamiwe na Wizara ya Afya.
Hata baadhi ya Wabunge wamekuwa wakilisema hili:
1.
View: https://youtu.be/GLWU6qsSF0A?si=RDbW8slP9VlIdCYX
2. Hoja kubinafsisha vituo vya afya, zahanati yaendelea bungeni
Sasa ili kuleta tija ya huduma Bora za Afya kwenye Hospitali za Wilaya nashauri Hospitali za Wilaya pia Zisimamiwe na Wizara ya Afya.
Hata baadhi ya Wabunge wamekuwa wakilisema hili:
1.
View: https://youtu.be/GLWU6qsSF0A?si=RDbW8slP9VlIdCYX
2. Hoja kubinafsisha vituo vya afya, zahanati yaendelea bungeni