House4Rent Hostel nzuri kwa akina dada wa chuo (TIA,IFM,DUCE,CBE n.k)

House4Rent Hostel nzuri kwa akina dada wa chuo (TIA,IFM,DUCE,CBE n.k)

Inaitwa Tap water....naona kama kawaida hakuna bei Tanzania biashara bado sanaaa
Ucweke sana ujuaji wa kingereza kwenye biashara za watu, kuna typing error, wengine wanaona biashara ww unaona error. Ina maana hujaelewa au ni ubishi tu. Namba za mawasiliano kazi yake nn, siyo lazima kuweka kila bei kwenye mtandao, hakuna njia moja default ya kufanya mambo utakavyo.
 
Ucweke sana ujuaji wa kingereza kwenye biashara za watu, kuna typing error, wengine wanaona biashara ww unaona error. Ina maana hujaelewa au ni ubishi tu. Namba za mawasiliano kazi yake nn, siyo lazima kuweka kila bei kwenye mtandao, hakuna njia moja default ya kufanya mambo utakavyo.
Kiingereza mimi nakijua blaza tena ingine ni hii inaitwa conducive environment sio hio ulioandika fanya biashara za kizamani wala hakuna shida...
 
Ucweke sana ujuaji wa kingereza kwenye biashara za watu, kuna typing error, wengine wanaona biashara ww unaona error. Ina maana hujaelewa au ni ubishi tu. Namba za mawasiliano kazi yake nn, siyo lazima kuweka kila bei kwenye mtandao, hakuna njia moja default ya kufanya mambo utakavyo.
Acha ubishi na ujuaji mwingi usiokuwa wa lazima.

Kubali kukosolewa na ujifunze jambo jema ulilolokosolewa kwalo.

Ulipaswa kuweka Bei katika Tangazo husika ili kuepusha hisia za utapeli na kila mtu kutajiwa bei yake.

Au wewe ni dalali?
 
Acha ubishi na ujuaji mwingi usiokuwa wa lazima.

Kubali kukosolewa na ujifunze jambo jema ulilolokosolewa kwalo.

Ulipaswa kuweka Bei katika Tangazo husika ili kuepusha hisia za utapeli na kila mtu kutajiwa bei yake.

Au wewe ni dalali?[/QUOT
 
Tulia basi, hostel ya wanawake, anikosoe mwanamke. Hakuna mtu anayejielewa anatoa hela kienyeji. Fursa ya wao kujionea wenyewe kabla ya malipo ipo. Suala la kwamba mm dalali au la, it's non of your business.
 
A
Kiingereza mimi nakijua blaza tena ingine ni hii inaitwa conducive environment sio hio ulioandika fanya biashara za kizamani wala hakuna shida...
Ww unalialia nn humu? Ww unayejua kiingereza condusive environment maana yake nn? Wabongo bwana!!***
 
Ucweke sana ujuaji wa kingereza kwenye biashara za watu, kuna typing error, wengine wanaona biashara ww unaona error. Ina maana hujaelewa au ni ubishi tu. Namba za mawasiliano kazi yake nn, siyo lazima kuweka kila bei kwenye mtandao, hakuna njia moja default ya kufanya mambo utakavyo.
Acha ubishi wewe.

Kama unajua kuna namba za simu na kazi zake hayo mengine umeweka ya nini sijui tap water sijui backyard sijui gated compound si katika uzi wako ungeweka namba ya simu tu kisha watu wakikupigia ( Ndio starehe yako kupigiwa simu) ndio uwaambie kuwa una hostel unakodisha mtoni kwa aziz ali
 
Tulia basi, hostel ya wanawake, anikosoe mwanamke. Hakuna mtu anayejielewa anatoa hela kienyeji. Fursa ya wao kujionea wenyewe kabla ya malipo ipo. Suala la kwamba mm dalali au la, it's non of your business.
Una matatizo wewe
 
Tulia basi, hostel ya wanawake, anikosoe mwanamke. Hakuna mtu anayejielewa anatoa hela kienyeji. Fursa ya wao kujionea wenyewe kabla ya malipo ipo. Suala la kwamba mm dalali au la, it's non of your business.
Una kila dalili na sababu za kutiliwa "Shaka", ilikuwa ni rahisi Sana ila ubishi wako na Ujuaji vinatoa somo kuwa wewe si mkweli na muwazi katika jambo hili.

Angalizo ni muhimu kwa yeyote atakayewasiliana nawe.
 
ha ha ha huyu dalali wa hostel ana vituko...

hakuwa na ulazima wa kuandika kiingereza ila kaweka kizungu kibovu tupu..

anaambiwa ataje bei anakwambia piga simu...

wazungu wametuacha mbali sana sipati picha ebay, amazon wangekuwa hawaweki bei wanaweka namba za simu tu
 
Una matatizo wewe
Una matatizo wewe
Pamoja na kwamba unaona nina matatizo,
Una kila dalili na sababu za kutiliwa "Shaka", ilikuwa ni rahisi Sana ila ubishi wako na Ujuaji vinatoa somo kuwa wewe si mkweli na muwazi katika jambo hili.

Angalizo ni muhimu kwa yeyote atakayewasiliana nawe.
Una kila dalili na sababu za kutiliwa "Shaka", ilikuwa ni rahisi Sana ila ubishi wako na Ujuaji vinatoa somo kuwa wewe si mkweli na muwazi katika jambo hili.

Angalizo ni muhimu kwa yeyote atakayewasiliana nawe.
Una kila dalili na sababu za kutiliwa "Shaka", ilikuwa ni rahisi Sana ila ubishi wako na Ujuaji vinatoa somo kuwa wewe si mkweli na muwazi katika jambo hili.

Angalizo ni muhimu kwa yeyote atakayewasiliana nawe.
Kwa sababu ww ni mdadisi sana , nitafute kwa wakati wako, uje ujionee uondoke shaka, hata ww siyo mteja (nauli juu yangu).
 
Pamoja na kwamba unaona nina matatizo,



Kwa sababu ww ni mdadisi sana , nitafute kwa wakati wako, uje ujionee uondoke shaka, hata ww siyo mteja (nauli juu yangu).
Yote hayo ya kazi gani?

Yanini ujipe shida kujilipisha nauli bila ulazima wowote?

Umeulizwa Bei, jambo jepesi na rahisi ni kutaja bei hiyo.

Vinginevyo ukiri kwamba hujui, la Kama unafahamu na hutaji unalazimisha mawasiliano kwa njia ya simu pekee basi elewa kwamba unaacha viashiria vya Upigaji/Utapeli {Kila mpangaji atatajiwa Bei yake}.
 
Back
Top Bottom