KARIBUNI SANA!
View attachment 580953
View attachment 580953
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwa Tap water....naona kama kawaida hakuna bei Tanzania biashara bado sanaaa
Ucweke sana ujuaji wa kingereza kwenye biashara za watu, kuna typing error, wengine wanaona biashara ww unaona error. Ina maana hujaelewa au ni ubishi tu. Namba za mawasiliano kazi yake nn, siyo lazima kuweka kila bei kwenye mtandao, hakuna njia moja default ya kufanya mambo utakavyo.Inaitwa Tap water....naona kama kawaida hakuna bei Tanzania biashara bado sanaaa
Kiingereza mimi nakijua blaza tena ingine ni hii inaitwa conducive environment sio hio ulioandika fanya biashara za kizamani wala hakuna shida...Ucweke sana ujuaji wa kingereza kwenye biashara za watu, kuna typing error, wengine wanaona biashara ww unaona error. Ina maana hujaelewa au ni ubishi tu. Namba za mawasiliano kazi yake nn, siyo lazima kuweka kila bei kwenye mtandao, hakuna njia moja default ya kufanya mambo utakavyo.
Acha ubishi na ujuaji mwingi usiokuwa wa lazima.Ucweke sana ujuaji wa kingereza kwenye biashara za watu, kuna typing error, wengine wanaona biashara ww unaona error. Ina maana hujaelewa au ni ubishi tu. Namba za mawasiliano kazi yake nn, siyo lazima kuweka kila bei kwenye mtandao, hakuna njia moja default ya kufanya mambo utakavyo.
Acha ubishi na ujuaji mwingi usiokuwa wa lazima.
Kubali kukosolewa na ujifunze jambo jema ulilolokosolewa kwalo.
Ulipaswa kuweka Bei katika Tangazo husika ili kuepusha hisia za utapeli na kila mtu kutajiwa bei yake.
Au wewe ni dalali?[/QUOT
Ww unalialia nn humu? Ww unayejua kiingereza condusive environment maana yake nn? Wabongo bwana!!***Kiingereza mimi nakijua blaza tena ingine ni hii inaitwa conducive environment sio hio ulioandika fanya biashara za kizamani wala hakuna shida...
Acha ubishi wewe.Ucweke sana ujuaji wa kingereza kwenye biashara za watu, kuna typing error, wengine wanaona biashara ww unaona error. Ina maana hujaelewa au ni ubishi tu. Namba za mawasiliano kazi yake nn, siyo lazima kuweka kila bei kwenye mtandao, hakuna njia moja default ya kufanya mambo utakavyo.
Una matatizo weweTulia basi, hostel ya wanawake, anikosoe mwanamke. Hakuna mtu anayejielewa anatoa hela kienyeji. Fursa ya wao kujionea wenyewe kabla ya malipo ipo. Suala la kwamba mm dalali au la, it's non of your business.
Una kila dalili na sababu za kutiliwa "Shaka", ilikuwa ni rahisi Sana ila ubishi wako na Ujuaji vinatoa somo kuwa wewe si mkweli na muwazi katika jambo hili.Tulia basi, hostel ya wanawake, anikosoe mwanamke. Hakuna mtu anayejielewa anatoa hela kienyeji. Fursa ya wao kujionea wenyewe kabla ya malipo ipo. Suala la kwamba mm dalali au la, it's non of your business.
Una matatizo wewe
Pamoja na kwamba unaona nina matatizo,Una matatizo wewe
Una kila dalili na sababu za kutiliwa "Shaka", ilikuwa ni rahisi Sana ila ubishi wako na Ujuaji vinatoa somo kuwa wewe si mkweli na muwazi katika jambo hili.
Angalizo ni muhimu kwa yeyote atakayewasiliana nawe.
Una kila dalili na sababu za kutiliwa "Shaka", ilikuwa ni rahisi Sana ila ubishi wako na Ujuaji vinatoa somo kuwa wewe si mkweli na muwazi katika jambo hili.
Angalizo ni muhimu kwa yeyote atakayewasiliana nawe.
Kwa sababu ww ni mdadisi sana , nitafute kwa wakati wako, uje ujionee uondoke shaka, hata ww siyo mteja (nauli juu yangu).Una kila dalili na sababu za kutiliwa "Shaka", ilikuwa ni rahisi Sana ila ubishi wako na Ujuaji vinatoa somo kuwa wewe si mkweli na muwazi katika jambo hili.
Angalizo ni muhimu kwa yeyote atakayewasiliana nawe.
Yote hayo ya kazi gani?Pamoja na kwamba unaona nina matatizo,
Kwa sababu ww ni mdadisi sana , nitafute kwa wakati wako, uje ujionee uondoke shaka, hata ww siyo mteja (nauli juu yangu).
sijui kwanini watu ni waoga kuweka bei,huku jamii forums mbona watu ni waelewa tu