Kocha Mkuu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,862
- 3,320
Una matatizo wewe
Eti aulizwe na wanawake, sasa kama namtafutia mwanangu, mchumba au mdogo wangu nisiulize?
Ngoja nitafute mtu wa kumtuma kuuliza maswali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una matatizo wewe
We siyo mzima na aliyekutuma kakosea sana sasa kama hostel za wadada inamaana wakaka hatuwezi kuwalipia wadogo zetu wa kike au wapenzi wetu au unafikiri vitu vizuri wanaviona wadada tu na upunguze ubishi biashara haiko ivo hata ukitukanywa we jibu vizuri ilimradi biashara yako iende vzr weka bei ya vyumba na hostel za chuo kwnn wakae wadada tu mixer ndo mpango aseeTulia basi, hostel ya wanawake, anikosoe mwanamke. Hakuna mtu anayejielewa anatoa hela kienyeji. Fursa ya wao kujionea wenyewe kabla ya malipo ipo. Suala la kwamba mm dalali au la, it's non of your business.
😀😀😀Eti aulizwe na wanawake, sasa kama namtafutia mwanangu, mchumba au mdogo wangu nisiulize?
Ngoja nitafute mtu wa kumtuma kuuliza maswali.
😀😀😀
Nitume mie
Wengine ndio tunawalipia hao wanawake unaotegemea kuwapangisha. Wapo mabinti zetu na hata michepuko.Tulia basi, hostel ya wanawake, anikosoe mwanamke. Hakuna mtu anayejielewa anatoa hela kienyeji. Fursa ya wao kujionea wenyewe kabla ya malipo ipo. Suala la kwamba mm dalali au la, it's non of your business.
NIMEKUELEWAukiona mtu anaogopa kuweka bei jua bei yake ina ujanja ujanja.. hapo kila mteja anatajiwa bei tofauti
Wewe tapeli unaezaje kusema wa book wakati hujaeka bei!! Wa book hewa!! Sijui kama akili ulizonazo zinashirikiana.Tulia basi, hostel ya wanawake, anikosoe mwanamke. Hakuna mtu anayejielewa anatoa hela kienyeji. Fursa ya wao kujionea wenyewe kabla ya malipo ipo. Suala la kwamba mm dalali au la, it's non of your business.
Atakuwa anataka namba Za mademuAcha ubishi wewe.
Kama unajua kuna namba za simu na kazi zake hayo mengine umeweka ya nini sijui tap water sijui backyard sijui gated compound si katika uzi wako ungeweka namba ya simu tu kisha watu wakikupigia ( Ndio starehe yako kupigiwa simu) ndio uwaambie kuwa una hostel unakodisha mtoni kwa aziz ali
Inamaana ile ile ulioiweka wewe sema umekosea spelling tu kiongozi..A
Ww unalialia nn humu? Ww unayejua kiingereza condusive environment maana yake nn? Wabongo bwana!!***