House4Rent Hostel nzuri kwa akina dada wa chuo (TIA,IFM,DUCE,CBE n.k)

House4Rent Hostel nzuri kwa akina dada wa chuo (TIA,IFM,DUCE,CBE n.k)

Tulia basi, hostel ya wanawake, anikosoe mwanamke. Hakuna mtu anayejielewa anatoa hela kienyeji. Fursa ya wao kujionea wenyewe kabla ya malipo ipo. Suala la kwamba mm dalali au la, it's non of your business.
We siyo mzima na aliyekutuma kakosea sana sasa kama hostel za wadada inamaana wakaka hatuwezi kuwalipia wadogo zetu wa kike au wapenzi wetu au unafikiri vitu vizuri wanaviona wadada tu na upunguze ubishi biashara haiko ivo hata ukitukanywa we jibu vizuri ilimradi biashara yako iende vzr weka bei ya vyumba na hostel za chuo kwnn wakae wadada tu mixer ndo mpango asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulia basi, hostel ya wanawake, anikosoe mwanamke. Hakuna mtu anayejielewa anatoa hela kienyeji. Fursa ya wao kujionea wenyewe kabla ya malipo ipo. Suala la kwamba mm dalali au la, it's non of your business.
Wengine ndio tunawalipia hao wanawake unaotegemea kuwapangisha. Wapo mabinti zetu na hata michepuko.
 
Tulia basi, hostel ya wanawake, anikosoe mwanamke. Hakuna mtu anayejielewa anatoa hela kienyeji. Fursa ya wao kujionea wenyewe kabla ya malipo ipo. Suala la kwamba mm dalali au la, it's non of your business.
Wewe tapeli unaezaje kusema wa book wakati hujaeka bei!! Wa book hewa!! Sijui kama akili ulizonazo zinashirikiana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ubishi wewe.

Kama unajua kuna namba za simu na kazi zake hayo mengine umeweka ya nini sijui tap water sijui backyard sijui gated compound si katika uzi wako ungeweka namba ya simu tu kisha watu wakikupigia ( Ndio starehe yako kupigiwa simu) ndio uwaambie kuwa una hostel unakodisha mtoni kwa aziz ali
Atakuwa anataka namba Za mademu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A
Ww unalialia nn humu? Ww unayejua kiingereza condusive environment maana yake nn? Wabongo bwana!!***
Inamaana ile ile ulioiweka wewe sema umekosea spelling tu kiongozi..
 
Back
Top Bottom