hosteli

hosteli

Mangolo

Member
Joined
Oct 30, 2011
Posts
28
Reaction score
11
ndugu wazazi polenin na jukumu la kusomesha
naomba mfuatilie kwa karibu sana hosteli wanazokaa watoto hususani wa kike na mtakayoyaona mnijuze,
hosteli ammbazo wamiliki wake wameajiri watu wa kuziangalia, wenyewe wako mbali
 
watoto wa chuo wapo above 18,ni watu wazima.
mzazi wa mtoto below 18 usiruhusu mtoto akae hostel ambayo siyo shule.ukimweka mtoto katika hosteli za mitaani ni sawa umempangishia chumba mtaani.
ni bora utafute nyumba zenye familia karibu na shule uwalipe ,mwanao aishi nao.kwani hapo watakuwa ni wazazi wa mtoto wako ,pia watamjenga mwanao ki maadili.
poleni wazazi mlio na watoto ktk hostel za mtaani kwa watoto wa form 4 au 5-6 .kwani huko watoto wanajifunza kuchuna mabuzi,kwenda disko,kuuza ngono fasta fasta etc

Jukumu la maadili la ya mtoto ni la MZAZI,MWALIMU JUKUMU LAKE NI ELIMU NA UTASHI WA MTOTO.
 
watoto wa chuo wapo above 18,ni watu wazima.
mzazi wa mtoto below 18 usiruhusu mtoto akae hostel ambayo siyo shule.ukimweka mtoto katika hosteli za mitaani ni sawa umempangishia chumba mtaani.
ni bora utafute nyumba zenye familia karibu na shule uwalipe ,mwanao aishi nao.kwani hapo watakuwa ni wazazi wa mtoto wako ,pia watamjenga mwanao ki maadili.
poleni wazazi mlio na watoto ktk hostel za mtaani kwa watoto wa form 4 au 5-6 .kwani huko watoto wanajifunza kuchuna mabuzi,kwenda disko,kuuza ngono fasta fasta etc

Jukumu la maadili la ya mtoto ni la MZAZI,MWALIMU JUKUMU LAKE NI ELIMU NA UTASHI WA MTOTO.
Uliongea vema japo conclusion yako ina "walakini"
 
Back
Top Bottom