Hot Gossip in town: Tetesi zinasema Meninah na Diamond waanza vikao vya harusi

Bora Diamond aowe yajishie baada ya hapo ndio huyo Wema ndio atakijua cheo chake kama koplo au sajenti..mtu mzima usojipatiliza leo huyu kesho yule sasa atahama mji aende mbali kidogo nasie tupumue...
 
Mi naangalia tu binamu, maana mpaka nimekosa jipya la kuongea kuhusu mama ubaya, maana yote nimeshasema, sasa ivi nasubir movie tu itakavyoisha

Bado upo ikulu?aende kwa mkongoman binam atamzeekea Domo,huyu Wema kama akili yake ipo vizuri afate nyendo za Klyn
 

Ndio ushangaee,kwanza mwanaume wa kubadilisha badilisha wanawake hovyo na marafiki zako humo humo huyo ni mwanaume naee??
Ila kwa umalaya wote wanatoka droo simlaumu domo
 
Ndio ushangaee,kwanza mwanaume wa kubadilisha badilisha wanawake hovyo na marafiki zako humo humo huyo ni mwanaume naee??
Ila kwa umalaya wote wanatoka droo simlaumu domo

Mie sometimes huwa nahisi wema hana akili maana kafanyiwa mambo mabaya ila lipo tu linang'ang'ana.Mwanaume anatoka na rafiki zako bado hakupi chochote cha maana then unaendelea kukomaa?
 
Mie sometimes huwa nahisi wema hana akili maana kafanyiwa mambo mabaya ila lipo tu linang'ang'ana.Mwanaume anatoka na rafiki zako bado hakupi chochote cha maana then unaendelea kukomaa?

Labda anachukua kozi ya udakatareee,Daimond angekua anampenda Wema angemuoa siku nyingi na kumbuka Dai anamsikiliza sana mama yake ogopa mwanaume anaemsikiliza sana mama yake maana mama atamuamrisha kila kitu na atafata we mke hata umwambie nini mume hakusikiiii ng'00000
 
Mie sometimes huwa nahisi wema hana akili maana kafanyiwa mambo mabaya ila lipo tu linang'ang'ana.Mwanaume anatoka na rafiki zako bado hakupi chochote cha maana then unaendelea kukomaa?

Domo kasanuka wema mbibi hafai kua wife material,mda wote yuko n mashoga kwenye vigodoro familia ataiweza huyo
 
Ndio ushangaee,kwanza mwanaume wa kubadilisha badilisha wanawake hovyo na marafiki zako humo humo huyo ni mwanaume naee??
Ila kwa umalaya wote wanatoka droo simlaumu domo

Kwa kweli

Kwenye kutembeza nyuchi wamelingana... tena heri wema anatembeza hukoooo kuliko huyo bazazi anayekula marafiki za wema

Halafu issue zao sasa zimegeuka kuwa chukizo masikioni... ndomo atafute strategy mpya
 
Mi naangalia tu binamu, maana mpaka nimekosa jipya la kuongea kuhusu mama ubaya, maana yote nimeshasema, sasa ivi nasubir movie tu itakavyoisha

Duh binamu wema ataliaje
 

Yani maskini sometimes namuonea huruma wema maana hajitambui kabisaaaa
 
Domo kasanuka wema mbibi hafai kua wife material,mda wote yuko n mashoga kwenye vigodoro familia ataiweza huyo

Ndio hivyo na kuigeuza nyumba danguro,mwanaume hata awe kicheche ataoa demu mtulivu
 
Mennina na Dangote walaaaaaaaaa:embarrassed1: angemuoa Penina tu , asijidanganye ataishia kuharibikiwa kama kidoti tu ! Mwanaume wenyewe nani ! huyo Majanga++
 
Domo kasanuka wema mbibi hafai kua wife material,mda wote yuko n mashoga kwenye vigodoro familia ataiweza huyo

Kama ni bibi si amwambie tu mtoto wa watu aanze kufanya mambo yake maana hata huyo domo kila mda yuko na wanawake atapata wapi time ya kukaa na wanae?
 
KAMA NI SIKIO LA KUFA..WEMA LAKE LIMEOZA
KILA MTU NA AKILI YAKE,YANI MWANAUME AKUFANYIE UPUUZI WOOOTE WE UNAKAA TU,UTAFKIRI HUNA KWENU,UMEFUKUZWA AU HUJIELEWI NA KWA KIPI HASWA?
NILIMPENDAGA WEMA SANA ILA NOW..
KILA MTU ANA MAKOSA YAKE HAPA DUNIANI ILA HAKUNA KITU KIZURI KAMA KUFANYA KOSA NA UKAPATA USHAURI WA KUKUJENGA NA TENA UNA MZAZI AMBAE YUKO SUPPORTIVE,MBONA DAI ANAMSIKILIZA MZAZI WAKE INGEKUA WAZAZI WENGINE NA RADHI KAKUACHIA
KAMA NI PEPO NA LITOKE:hail:
 
Kwa kweli

Kwenye kutembeza nyuchi wamelingana... tena heri wema anatembeza hukoooo kuliko huyo bazazi anayekula marafiki za wema

Halafu issue zao sasa zimegeuka kuwa chukizo masikioni... ndomo atafute strategy mpya

Lakini pamoja na hayo kumbuka Daimond ni mwanaume anachagua yupi ataoa hata kama ni malaya nae,umalaya wa mwanamke na mwanaume ni tofauti unavyochukuliwa na jamii
na sasa hivi yupo makini coz anajua wanawake wanampendea umaarufu na pesa,Wema angejituliza hakosi mume wa kumuoa lakini ndio hivyo
Huwez kushindana na mwanaume hata siku mojaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…