ubuntuX
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 1,977
- 2,200
Kwa wale vijana wote tulio na umri kuanza miaka 25 na kuendelea lakini bado tunaishi kwa wazazi na ndugu zetu tukutane hapa
Hizi ni hot pot family, yaani kijana unakuepo kwenu licha ya umri kukutupa mkono, huna kazi wala kipato chochote lakini maisha yanasonga tu kwa kufunua hot pot iliyojaa vyakula vizuri na vitamu kwa kupitia jasho la mtu mwingine
Ni changamoto zipi tunazipitia?
1 shikamoo ni jadi ili uweze kuendelea kufunua hot pot
2 msosi ni wa kengele, lazima ufuate ratiba ya muda wa kula yaani hata kama unashughuli zako lazima ufuate time ya kula
3 Utakula chakula hata usichokihitaji (penda) zaidi wewe utakachofunua ndio hiko lazima ule
Share challenge unazokutana nazo huko kwenu ewe mkuu ambayebado unafunua hot pot na wadogo zako ilhali umri umekutupa mkono
Hizi ni hot pot family, yaani kijana unakuepo kwenu licha ya umri kukutupa mkono, huna kazi wala kipato chochote lakini maisha yanasonga tu kwa kufunua hot pot iliyojaa vyakula vizuri na vitamu kwa kupitia jasho la mtu mwingine
Ni changamoto zipi tunazipitia?
1 shikamoo ni jadi ili uweze kuendelea kufunua hot pot
2 msosi ni wa kengele, lazima ufuate ratiba ya muda wa kula yaani hata kama unashughuli zako lazima ufuate time ya kula
3 Utakula chakula hata usichokihitaji (penda) zaidi wewe utakachofunua ndio hiko lazima ule
Share challenge unazokutana nazo huko kwenu ewe mkuu ambayebado unafunua hot pot na wadogo zako ilhali umri umekutupa mkono