Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mngeacha tu aliyeileta mwanzo akaendelea, mbona ailikuwa anaileta vivuri tu, hapa yatakuwa yale yale kama ile hadithi ya kizuizi
achana na huyo jamaa tupe uhondo weka hata zote.kwanza huyo goole ni muongo kwa nini atuambie kuwa hadith bado inatungwaOK ngoja niche mkuu
achana na huyo jamaa tupe uhondo weka hata zote.kwanza huyo goole ni muongo kwa nini atuambie kuwa hadith bado inatungwaOK ngoja niche mkuu
Mngeacha tu aliyeileta mwanzo akaendelea, mbona ailikuwa anaileta vivuri tu, hapa yatakuwa yale yale kama ile hadithi ya kizuizi
Bora uendelee maana huyo google2014 hawez maana anaona amisha onekana muongo
jamani sio vizuri hivyo..mnamkatisha tamaa mwezenu
nashukuru sana alivyojitokeza mtu na kuendelea kutuma part zilizo bakia aendelee tu worry out mimi ni majuku ndio maana nachelewa kutuma.
then hakuna sehemu niliyo declare kwamba ninatunga mimi huyo anayeniukumu amekosea sana.
nashukuru sana alivyojitokeza mtu na kuendelea kutuma part zilizo bakia aendelee tu worry out mimi ni majuku ndio maana nachelewa kutuma.
then hakuna sehemu niliyo declare kwamba ninatunga mimi huyo anayeniukumu amekosea sana.
Nilijua tu haya yatatokea kama yalivyotokea kwa mizambwa, huyo kama alikuwa nayo tangu mwanzo why hakuileta hapa mapema, hadith imefika sehemu ya 29 ndio anaibuka! google2014 endelea kutuletea hadithi, yule amesema haileti, malizia tu ndg yangu
Tupe vituunmeziona, endelea basi
nashukuru sana alivyojitokeza mtu na kuendelea kutuma part zilizo bakia aendelee tu worry out mimi ni majuku ndio maana nachelewa kutuma.
then hakuna sehemu niliyo declare kwamba ninatunga mimi huyo anayeniukumu amekosea sana.