Hot story

Hot story

Mhhhh!!! Humu JF story yoyote nzuri ikianza lazima zengwe litokee sijui kwanini??? Mpaka inaleta uvivu kusoma hizi story,.............yaani sijui kwanini??? Mnatutesa walevi sisi wa story.....wito kwa wote msiwe mnaleta story ambazo hamtakuja kuzimaliza,ukija na story uwe na uhakika wa kuimalizia,nisameheni bure kama nimewakwaza.

Bora wewe umeongea ukweli, maana huyu anataka kubembelezwa,
 
halafu ndo anataka tununue wakati utamu umekwisha!!! :-!

kwa uandishi wa kibongo hii ndio jaribio la mwisho kabla ya kurudi Tanzania na mkewe mali zote atakbidhiwa na hati zote zimeandikwa kwa jina lake za urithi
story itaishia hivyo hakuna la zaidi
 
Mkuu huyu jamaa naona alipojua story zake zinasambaaa akamua afanye biashara ni.hivi tupo sehemu ya 70 kama sikosei hicho kitabu kikija muendelezo utakuepo ila sasa hakina ladha watu tushasoma kuanzia mwanzo had had uhondo ushanoga kama alitaka biashara bas asingeitoa mwanzo.had hapo n atoe tu kitabu wapo watakaonunua wapo tutakao acha kukinunua

Mkuu uo ndio mfumo wanaotumia waandishi wengi wa hadithi huko facebook, huwa wanaandika nusu ili kuwavuta watu wapate hamasa ya kununua kitabu kikitoka.
 
Kwani tuliwaomba wailete? Wanajishauua kma kitu gani vile!!!! Hayo mambo ya kununua kitabu kama ulijua yapo ulileta humu story yanini? Mnajishaua kuanzsha story ikinoga mnaanza kunata! Ebu mtutokee huko! Watu tushalewa na utamu gafla mnaukatisha! I hate u all mlioleta hadith yenu humu!
 
kwa uandishi wa kibongo hii ndio jaribio la mwisho kabla ya kurudi Tanzania na mkewe mali zote atakbidhiwa na hati zote zimeandikwa kwa jina lake za urithi
story itaishia hivyo hakuna la zaidi

Haswaaaa...!!
 
Mnakosea wakuu hii story bado sana,,,anaekuja kuimalzia ni mtoto wa eddy aliyeko tumbon kwa phidaya......mimi ni miongon mwa wataonunua kitabu toa utaratibu ndugu mwandishi npo pamoja na wewe
 
Mkuu uo ndio mfumo wanaotumia waandishi wengi wa hadithi huko facebook, huwa wanaandika nusu ili kuwavuta watu wapate hamasa ya kununua kitabu kikitoka.


So boring lakini unavutia mtu sehem ya 70
 
well said...hii itaonesha hata akileta muhtasari wa story mpya na kutangaza kitabu chake mtu hutosita kununua coz umeshajua story za huyu jamaa ni nzuri, ila haya mambo ya kuonjeshana sio kabisa.
 
Mnakosea wakuu hii story bado sana,,,anaekuja kuimalzia ni mtoto wa eddy aliyeko tumbon kwa phidaya......mimi ni miongon mwa wataonunua kitabu toa utaratibu ndugu mwandishi npo pamoja na wewe

Kumbuka anayetuadithia hii story Ni eddy so eddy hatokufa
 
Eddy ndo kinara wa story Hui na kubwa la maadui ni mzee Godwin.kisasi kimelipwa kwa MTU mmoja tu.Derrick bado kwa Manka,Khalid,Victoria,John,Godwin na Madam Merry ambae atamkata mono Eddy.story bado
 
Hicho ndio wanakosea unakuja kununua kitabu bado sehemu chache hadithi iishe. Na hata kama akitoa kitabu hakitauza sana kama ambavyo asingeitoa kabisa.

Tena angejua angeiacha ikaisha ndo akatoa kitabu kingeuza kwa sababu watu watakua washamuelewa muandish
 
Akwende zake kule basi angesema toka mwanzo kama atatoa epsod chache then kutakuwa na kitabu kizima ambacho kitauzwa au itatakiwa ulipie kiasi kadhaa ili uipate Stori nzima, so mtu uamue kabla hujaanza kusoma kuliko hivi alivyofanya, watu tushanogewa alafu anaanza kutulingia!
 
Akwende zake kule basi angesema toka mwanzo kama atatoa epsod chache then kutakuwa na kitabu kizima ambacho kitauzwa au itatakiwa ulipie kiasi kadhaa ili uipate Stori nzima, so mtu uamue kabla hujaanza kusoma kuliko hivi alivyofanya, watu tushanogewa alafu anaanza kutulingia!

Mkuu ungekuwa mfwatiliaji wa hizi hadithi ungeelewa hawa Watunzi, ingawa inaboa ila ndo utafanyaje.

Shigongo mwenyewe ana hiyo tabia hadithi ikipendwa sana huwa anakatisha nakutoa kitabu.
 
Nilivyoona utamu wake kule mwanzo, niliacha kuisoma. Nilijua kitabu kitatoka. Am in... leta hiyo kitabu fasta. Uhariri ikae vema zaidi kisarufi.
 
Back
Top Bottom