Mbwiga88
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 642
- 142
duh wakubwa wanaipinga PCB
Hapa sio bure kuna kitu! Unajua pcb ni ngumu kuliko pcm kama mtu alimudu pcb hawezi shindwa engineering mpo hapo! Mimi anko wangu alisoma pcb na chuo akachukua bcs ya telecom sasa yupo airtel anakula tano!
nani alikuambia hvo....ugumu au urahisi wa combination ni kichwa chako tu