duh wakubwa wanaipinga PCB
Hapa sio bure kuna kitu! Unajua pcb ni ngumu kuliko pcm kama mtu alimudu pcb hawezi shindwa engineering mpo hapo! Mimi anko wangu alisoma pcb na chuo akachukua bcs ya telecom sasa yupo airtel anakula tano!
Bora useme wewe..maana hawa wanaiona biology yao yakike inaweza kuwafanya wakawa maengineer:disapointed: ACHENI KUJIPA MOYO BILA MATHEMATICS ENGINEERING SAHAU LABDA UHONGEWE HIYO BAM YAKO HUWEZI APPLY KWENYE ENGINEERING FIELD ( CHEZEA PURE WEYEEEEE)
Acha utani chali yangu,PCM ndo wako nondo physics.PCB wako nondo kwenye kemia.
ni fulcut zipi zinahitaji sana mathematics!
Ila mbona kuna PCB wengine wanasoma telecom!
:disapointed: ACHENI KUJIPA MOYO BILA MATHEMATICS ENGINEERING SAHAU LABDA UHONGEWE HIYO BAM YAKO HUWEZI APPLY KWENYE ENGINEERING FIELD ( CHEZEA PURE WEYEEEEE)
mkuu dullahyo na vp anayesoma Bachelor of computer science wakati advance alikuwa combination ya HKL?kuna ugumu gani anaokutana nao hapa?