botafongo jr
Senior Member
- Aug 13, 2013
- 107
- 17
ShukranMi huwa nalala MIC Hotel ubungo na nyingine inaitwa NEMAX LOYAL Hotel , KING D n.k zipo vizuri.... Hizo ndio nazijua.
Ukifatilia usisahau kwenda kufanya bookingNgoja tufatilie
Hahah!! Unataka tubadirishe mazingira?Ukifatilia usisahau kwenda kufanya booking
Hivi kifaru ndio ile mbele ya Royal wewe uko umekujuajeKifaru Lodge Mwananyamala iko vizuri. Hapo ukijisikia bored unasogea Royal Bar(tamka loyo ndio utaeleweka maeneo hayo)
Sio kila siku nyumbaniHahah!! Unataka tubadirishe mazingira?
Mara moja moja kubadirisha mazingira sio mbaya kweli, ngoja nikipata chimbo la maana tufanye hvyo kwakweliSio kila siku nyumbani
Waswahili hujawaambia gharama mkuuMi huwa nalala MIC Hotel ubungo na nyingine inaitwa NEMAX LOYAL Hotel , KING D n.k zipo vizuri.... Hizo ndio nazijua.
Ndio maana nakupenda we mwanaume jamaniMara moja moja kubadirisha mazingira sio mbaya kweli, ngoja nikipata chimbo la maana tufanye hvyo kwakweli
Kuna ile lodge iko kama peace [emoji23]Hivi kifaru ndio ile mbele ya Royal wewe uko umekujuaje
πππHivi kifaru ndio ile mbele ya Royal wewe uko umekujuaje
Naona wewe ndo huwa mlipa lodge au sioLamada hotel& apartment Ipo ilala boma iko vizuri bei kanzia 20 hadi laki 1
Ntakuja unipeleke loyoKifaru Lodge Mwananyamala iko vizuri. Hapo ukijisikia bored unasogea Royal Bar(tamka loyo ndio utaeleweka maeneo hayo)