Hotel nzuri

Si kila mchangia maada anahusika kama akili yako ilivyo fikiri huwezi jua nimejua vipi ni maoni yangu tu,usimjudge mtu usiye mfahamu,kama ni manager je.
Aaaaa bas mama,

Huu uzi naona utani wangu umeenda kwenye ukweli maana mapovu nnayokutans nato duuuh

Nisamehe manager
 
aende nemax kinondoni ..hotel de Maggie kinondoni ..
pia kuna nyingine yaitwa chichi hotel ipo pale kino B...karibu na open university
pia kama yuko njema asogee mpka rhombo view shekilango sinza ....kwa hizo nadhani zitamtosha
Rombo pako poa, kuna moja ipo tandika maghorofani inaitwa kilimanjaro lodge ipo poa sana, bei 15 na 30, hapo ikifika jioni ni magari kibao yanajazana nahisi watu wanasingizia wana overtime job kumbe wapo lodge
 
Rombo pako poa, kuna moja ipo tandika maghorofani inaitwa kilimanjaro lodge ipo poa sana, bei 15 na 30, hapo ikifika jioni ni magari kibao yanajazana nahisi watu wanasingizia wana overtime job kumbe wapo lodge
hahaa
 
Aaaaa bas mama,

Huu uzi naona utani wangu umeenda kwenye ukweli maana mapovu nnayokutans nato duuuh

Nisamehe manager
Poa nimekutolea mfano tu mi siyo manager ili usirudie tena kumjudge mtu usiye mfahamu yameisha utani una mahala pake.
 
Humu naona watu mnajua mitaa vizuri.. Hivi kuna hotel yoyote Sinza au Kijitonyama ina swimming pool?
 
Huu uzi una umuhimu wake ukiwa na shoo ya fasta,unazama humu unachagua tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…