Hotel ya bei mbaya duniani

Asante kwa ufafanuzi ndugu lucky sabasaba. Niliona documentary Mtv kuhusu hoteli hiyo, nilidhani wanatania. Usiseme 'Twafa', sema 'Nafa'. Usiku mmoja mtu anaunguza sh m1.62 ilhali kuna mtu anakufa kwa kukosa sh 1000 ya dawa mseto ya malaria.
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu wanaishi naona wengine ni kama abiria tuu room Dola 65000!
One day yes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…