CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
ulete na picha ya misosi.Ngoja nikitoka hapa kibaruani kwangu saa tisa na nusu nitapita hapo kupata uhakika.
Hoteli ina bei kubwa ya vyakula, vinywaji na vyumba!!
Nitaleta mrejesho leo hii hii
mie ndie CHIKIRA MTABARI mmbeya mwandamizi katika jiji la Miamba
hahahahah, sasa misosi shost si mpaka niagize! misosi ya pale bei iko juu utadhani unanunua sijui kitu gani tu! Pale huwa ninaenda kama "nina offer" sio pesa yangu. hahahahahahahahahahahulete na picha ya misosi.
Eeeh Mola tunusuru na viumbe hawa.hahahahah, sasa misosi shost si mpaka niagize! misosi ya pale bei iko juu utadhani unanunua sijui kitu gani tu! Pale huwa ninaenda kama "nina offer" sio pesa yangu. hahahahahahahahahahah
hahahahahahahaha, hahahahahah, hiyo ndio nguvu ya mwanamke, hahahahahahahha, nimecheka kwa sauti.Eeeh Mola tunusuru na viumbe hawa.
Ngoja nikitoka hapa kibaruani kwangu saa tisa na nusu nitapita hapo kupata uhakika.
Hoteli ina bei kubwa ya vyakula, vinywaji na vyumba!!
Nitaleta mrejesho leo hii hii
mie ndie CHIKIRA MTABARI mmbeya mwandamizi katika jiji la Miamba
Ila kile kiwanda nao wamesogea mno relini, pia na yale makaburi ya wahindi nayo pia wanasema yatapitiwaInawezekana maana wameweka x sehemu nyng mnooo ht vicfish kuna kpande kimewekwa x
Ni hatari
hotel yangu masikini. I love that hole!Wanajukwaa kwa masikitiko makubwa, habari zisizo rasmi "tetesi" ni kuwa Hotel ya kitalii ya RYANS BAY iliyopo jijini Mwanza itabomolewa kupita eneo la Reli.
Mwenye habari kamili atuhabarishe...
uni-tag akikujibu
Nitapita hapo muda si mrefu kisha nitawapa jibu sahihi. Yawezekana bei ninayoijua zikawa zimepanda zaidi. kuweni subira niwaletee bei ambazo ni currentChumba bei gani?
Ni wazo mfu mno hiloWeka picha ya hiyo hotel.....kama ni kweli basi mmiliki wake atakua kwa namna moja anajihusisha na chadema.
Ngoja nikitoka hapa kibaruani kwangu saa tisa na nusu nitapita hapo kupata uhakika.
Hoteli ina bei kubwa ya vyakula, vinywaji na vyumba!!
Nitaleta mrejesho leo hii hii
mie ndie CHIKIRA MTABARI mmbeya mwandamizi katika jiji la Miamba
haya tunasubiri hahahahaaaNgoja nikitoka hapa kibaruani kwangu saa tisa na nusu nitapita hapo kupata uhakika.
Hoteli ina bei kubwa ya vyakula, vinywaji na vyumba!!
Nitaleta mrejesho leo hii hii
mie ndie CHIKIRA MTABARI mmbeya mwandamizi katika jiji la Miamba