Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Fresh!!!ndio tuongee dili nipo Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fresh!!!ndio tuongee dili nipo Dar
ninaweza pata mche lini nitegemeeFresh!!!
Mbona kwenye hiyo Hotel hakuna chanzo cha maji na ndege wapo.Halo ndege wanapenda Sehemu kwenye karibu na vyanzo vya maji kama mito,ziwa au bahari sehemu ambayo hakuna vyanzo vya maji hakai hao ndege chief kwaiyo ukitaka wakae hao ndege inabidi nyumba yako iwe karibu na vyanzo vyamaji
Naindaa Kesho baipakia na gari ya Saa Mbili usiku asubuhi j4 unakamata mzigoninaweza pata mche lini nitegemee
Kwa hiyo ndege wanakunywa maji chumvi?Kwaiyo ile bahari posta pale huioni au mwenzetu upo dodoma
adui wa ndege mjini ni kunguruMi nadhani la msingi ni kutafuta hiyo miti maana inapendwa na ndege wengi.
Poa utanipa update nitumie na picha ya hiyo miche humuNaindaa Kesho baipakia na gari ya Saa Mbili usiku asubuhi j4 unakamata mzigo
Wala hakuna cha dili mkuu kama una mtu Kongwa aigiza akuchukulie pale Chamwino kwenye kitalu cha TFS migunga ipo mingi sana. Au ukipata nafasi ya kupita maeneo hayo ukifika Chakechake pale kwenye nyama choma nyingi kama unatoka Dodoma chepuka kulia uliza mtu yoyote akuelekeze kitalu cha miti cha TFS kilipo uchukue tani yako!ndio tuongee dili nipo Dar
Walikuwa wananichafulia my doorstepduhh kwanini lakin???🙄
their shit is organic plus unaweza tumia ka mbolea kwa maua 😀 🙂Walikuwa wananichafulia my doorstep
Nilipenda sauti zao lakini
ukiapply na sayansi kidogo wanajaa ka wote natumainiNdege hutua mti aupendao
Jifunze aina ya chakula wanachopenda,kipatikane karibu na sehemu yako,pia mazingira yawe rafiki yasiyowasumbua.Habari Wana jamvi,
Kwa wale waliowahi kufika hotel ya Southern sun Posta Mpya karibu na hospital ya Ocean road, Dare es salaam mtakua mmeshawahi kuona viota vingi vilivyojengwa na hawa ndege aina ya "Weaver birds" kwenye palm trees at the entrance of the hotel.
Swali langu ningependa kujua wamewezaje kuwa-attract hawa ndege kujenga viota vyao kwenye hiyo miti ya palm trees at the entrance of the hotel.
Kama kuna mdau anajua mbinu za kuwaattract hawa ndege kujenga viota kwenye palm trees nyumbani kwako atujuze.
Natanguliza Shukrani...
View attachment 2999164View attachment 2999165
Sorry...mkusanyiko mkubwa na shughuli za kibinadamuHuu mti wa mgunga naweza kuupataje?.... nimeulizia kwa hawa wauza maua hawana..... nipe contact ntaulipia niletewe mche.
sijalelewa hapa "Ndege hawataki sehemu zenye mkubwa na binadamu."
Hapo Southern Sun pana mzunguko wa watu na wamejenga sehem magari yanapita kabisa karibu.Hii hotel ilishafunguliwa baada ya kufungwa wakati wa Covid? Ndege hawataki sehemu zenye mkubwa na binadamu.
Ipo mingi sana igunga, gunia la mbegu ukiwapa watoto buku tu wanakuletea mpaka mlangoniMiche ya miti ya mgunga inapatikana wapi wadau?
Sawa ila ndo wanye mlangoni😃their shit is organic plus unaweza tumia ka mbolea kwa maua 😀 🙂
Habari Wana jamvi,
Kwa wale waliowahi kufika hotel ya Southern sun Posta Mpya karibu na hospital ya Ocean road, Dare es salaam mtakua mmeshawahi kuona viota vingi vilivyojengwa na hawa ndege aina ya "Weaver birds" kwenye palm trees at the entrance of the hotel.
Swali langu ningependa kujua wamewezaje kuwa-attract hawa ndege kujenga viota vyao kwenye hiyo miti ya palm trees at the entrance of the hotel.
Kama kuna mdau anajua mbinu za kuwaattract hawa ndege kujenga viota kwenye palm trees nyumbani kwako atujuze.
Natanguliza Shukrani...
View attachment 2999164View attachment 2999165