Hotel ya Southern Sun - Weaver Birds

Hotel ya Southern Sun - Weaver Birds

ndio tuongee dili nipo Dar
Wala hakuna cha dili mkuu kama una mtu Kongwa aigiza akuchukulie pale Chamwino kwenye kitalu cha TFS migunga ipo mingi sana. Au ukipata nafasi ya kupita maeneo hayo ukifika Chakechake pale kwenye nyama choma nyingi kama unatoka Dodoma chepuka kulia uliza mtu yoyote akuelekeze kitalu cha miti cha TFS kilipo uchukue tani yako!
 
Habari Wana jamvi,

Kwa wale waliowahi kufika hotel ya Southern sun Posta Mpya karibu na hospital ya Ocean road, Dare es salaam mtakua mmeshawahi kuona viota vingi vilivyojengwa na hawa ndege aina ya "Weaver birds" kwenye palm trees at the entrance of the hotel.

Swali langu ningependa kujua wamewezaje kuwa-attract hawa ndege kujenga viota vyao kwenye hiyo miti ya palm trees at the entrance of the hotel.

Kama kuna mdau anajua mbinu za kuwaattract hawa ndege kujenga viota kwenye palm trees nyumbani kwako atujuze.

Natanguliza Shukrani...
View attachment 2999164View attachment 2999165
Jifunze aina ya chakula wanachopenda,kipatikane karibu na sehemu yako,pia mazingira yawe rafiki yasiyowasumbua.
 
Huu mti wa mgunga naweza kuupataje?.... nimeulizia kwa hawa wauza maua hawana..... nipe contact ntaulipia niletewe mche.

sijalelewa hapa "Ndege hawataki sehemu zenye mkubwa na binadamu."
Sorry...mkusanyiko mkubwa na shughuli za kibinadamu
 
Hii hotel ilishafunguliwa baada ya kufungwa wakati wa Covid? Ndege hawataki sehemu zenye mkubwa na binadamu.
Hapo Southern Sun pana mzunguko wa watu na wamejenga sehem magari yanapita kabisa karibu.
So sijui hawaowners wa hii hotel wanafanyeje pia hoteli yao ya Southern Sun Ridgway Lusaka Zambia wamejenga pia...
 

Attachments

  • southern-sun-ridgeway (1).jpg
    southern-sun-ridgeway (1).jpg
    49.2 KB · Views: 6
  • southern-sun-ridgeway.jpg
    southern-sun-ridgeway.jpg
    56.2 KB · Views: 7
  • photo0jpg.jpg
    photo0jpg.jpg
    61.9 KB · Views: 7
Habari Wana jamvi,

Kwa wale waliowahi kufika hotel ya Southern sun Posta Mpya karibu na hospital ya Ocean road, Dare es salaam mtakua mmeshawahi kuona viota vingi vilivyojengwa na hawa ndege aina ya "Weaver birds" kwenye palm trees at the entrance of the hotel.

Swali langu ningependa kujua wamewezaje kuwa-attract hawa ndege kujenga viota vyao kwenye hiyo miti ya palm trees at the entrance of the hotel.

Kama kuna mdau anajua mbinu za kuwaattract hawa ndege kujenga viota kwenye palm trees nyumbani kwako atujuze.

Natanguliza Shukrani...
View attachment 2999164View attachment 2999165

UPDATE:

Amazingly leo asubuhi nieamka nikisikia ndege wengi sana wakilia nje ya kibaraza cha nyumba yangu. Nikaona nitoke nje niangalie kuna nini. Amazingly nimekuta kuna swarm of these weaver birds wanajenga viota vyao kwenye mti mbele ya kibaraza changu.

Nimefurahi na kustaajabu sana kwani nilianzisha hii thead out of curiosity, na sijafanya chochote hapa nyumbani cha kusema kuwaattract hawa ndege ila leo wamenisupprise wanajenga viota na wapo wengi sana. wamechagua huu mti wangu.

1.jpg






 
Back
Top Bottom