Hotel za Dodoma zinakiuka sana ulinzi wa taarifa binafsi

Hotel za Dodoma zinakiuka sana ulinzi wa taarifa binafsi

Acha dharau anachoongea mtoa mada ni kweli,Binafsi niliona mwaka fulani pale Dar Live,wapiga picha wamejaa kila kona na mtu umeenda kufanya starehe zako kwa faragha,pia Jangwani Sea breeze nilishindwa sababu hiyo hiyo,Nimekanyaga ufukweni tu na warembo wawili nikashtuka tayari nipo kwenye kurasa yao ya Instagram. Ilibidi niwasiliane na Admin akagoma kutoa zile picha,nikatafuta namba za meneja ni Mhindi ndio akasema watazitoa. Next weekend nimeenda tena Nikapigwa picha wakaweka tena Instagram,nikawasiliana tena na meneja kumuomba atoe. Wametoa zile picha kwenye Instagram siku tatu mbele wakapost tangazo la kuvuta wateja weekend na mie tena nikawepo kwenye lile Tangazo,Sijawahi kanyaga tena pale.
Sasa mkuu hapo ndio pazuri,nenda kawashtaki upige hela. Mimi natamani sana niipate hiyo fursa ili niingie kwenye watu wa kipato cha kati..
 
Kumbukumbu inaamuriwa na mwenyewe. Ingia matukio ya watu wakubwa mtaambiwa mna uhuru wa kuchagua kupigwa picha au kutopigwa picha. Hii nimeiona maeneo mengi. Zipo hoteli zinazuia wapiga picha unless amepewa tenda na mteja. Yote ni kulinda taarifa binafsi za wateja wao. Hali haiko hivyo Dodoma, wapiga picha wanakaa kaa tu kupiga picha
Ajira hizo....tusaidiane...
 
Acha dharau anachoongea mtoa mada ni kweli,Binafsi niliona mwaka fulani pale Dar Live,wapiga picha wamejaa kila kona na mtu umeenda kufanya starehe zako kwa faragha,pia Jangwani Sea breeze nilishindwa sababu hiyo hiyo,Nimekanyaga ufukweni tu na warembo wawili nikashtuka tayari nipo kwenye kurasa yao ya Instagram. Ilibidi niwasiliane na Admin akagoma kutoa zile picha,nikatafuta namba za meneja ni Mhindi ndio akasema watazitoa. Next weekend nimeenda tena Nikapigwa picha wakaweka tena Instagram,nikawasiliana tena na meneja kumuomba atoe. Wametoa zile picha kwenye Instagram siku tatu mbele wakapost tangazo la kuvuta wateja weekend na mie tena nikawepo kwenye lile Tangazo,Sijawahi kanyaga tena pale.
😂😂😂😂😂😂😂
Hata mim sipendi bana mim mwenyewe sijianiki kwanin nianikwe nawengine jamani sio vizuri
 
Royal kulala ni shngapi?hotel gani nyingine nzuri hapo mjini kati ukiacha Dodoma hotel
 
Mara ya kwanza nilioona suala hili Royal Village, nimekuta wapiga picha kibao, ukikaa sura wazi wanakukochoa, na mtu umeshalipa hela nyingi kukaa kwa amani, ukitaka picha utawaita mwenyewe ila kule hali ni tofauti.

Niko hoteli nyingine leo, the same sh*t, jamaa kakomaa na kamera lake anataka kupiga picha ikabidi nimkumbushe sheria ya taarifa binafsi. Tabia hii siioni kwenye hoteli nyingi za Dar ambapo mtu unakuwa na amani unakaa kwa kutulia.

Nadhani hii ni tabia ya kijinga sana, na nitaanza kutumia sheria kwa yeyote atakayeleta za kuleta ili wajifunze kuwa na adabu. Mwendo ni kama waliofanyiwa CRDB tu kulipa mamilioni
Tatizo ni access kupatikana kwa urahisi kwa hao wapiga picha.

Mazingira hayako secured
 
Acha dharau anachoongea mtoa mada ni kweli,Binafsi niliona mwaka fulani pale Dar Live,wapiga picha wamejaa kila kona na mtu umeenda kufanya starehe zako kwa faragha,pia Jangwani Sea breeze nilishindwa sababu hiyo hiyo,Nimekanyaga ufukweni tu na warembo wawili nikashtuka tayari nipo kwenye kurasa yao ya Instagram. Ilibidi niwasiliane na Admin akagoma kutoa zile picha,nikatafuta namba za meneja ni Mhindi ndio akasema watazitoa. Next weekend nimeenda tena Nikapigwa picha wakaweka tena Instagram,nikawasiliana tena na meneja kumuomba atoe. Wametoa zile picha kwenye Instagram siku tatu mbele wakapost tangazo la kuvuta wateja weekend na mie tena nikawepo kwenye lile Tangazo,Sijawahi kanyaga tena pale.


Mzee ukawa model kwenye tangazo la kiwanja cha starehe😂😂
 
Acha dharau anachoongea mtoa mada ni kweli,Binafsi niliona mwaka fulani pale Dar Live,wapiga picha wamejaa kila kona na mtu umeenda kufanya starehe zako kwa faragha,pia Jangwani Sea breeze nilishindwa sababu hiyo hiyo,Nimekanyaga ufukweni tu na warembo wawili nikashtuka tayari nipo kwenye kurasa yao ya Instagram. Ilibidi niwasiliane na Admin akagoma kutoa zile picha,nikatafuta namba za meneja ni Mhindi ndio akasema watazitoa. Next weekend nimeenda tena Nikapigwa picha wakaweka tena Instagram,nikawasiliana tena na meneja kumuomba atoe. Wametoa zile picha kwenye Instagram siku tatu mbele wakapost tangazo la kuvuta wateja weekend na mie tena nikawepo kwenye lile Tangazo,Sijawahi kanyaga tena pale.
Ungetafuta mwanasheria ungevuta pesa nzur kupitia Sheria za makosa ya kimtandao..
 
Acha dharau anachoongea mtoa mada ni kweli,Binafsi niliona mwaka fulani pale Dar Live,wapiga picha wamejaa kila kona na mtu umeenda kufanya starehe zako kwa faragha,bpia Jangwani Sea breeze nilishindwa sababu hiyo hiyo, Nimekanyaga ufukweni tu na warembo wawili nikashtuka tayari nipo kwenye kurasa yao ya Instagram.

Ilibidi niwasiliane na Admin akagoma kutoa zile picha,nikatafuta namba za meneja ni Mhindi ndio akasema watazitoa.

Next weekend nimeenda tena Nikapigwa picha wakaweka tena Instagram,nikawasiliana tena na meneja kumuomba atoe.

Wametoa zile picha kwenye Instagram siku tatu mbele wakapost tangazo la kuvuta wateja weekend na mie tena nikawepo kwenye lile Tangazo,Sijawahi kanyaga tena pale.
Umeacha utajiri ukupite kizembe hivyo?
 
Wametoa zile picha kwenye Instagram siku tatu mbele wakapost tangazo la kuvuta wateja weekend na mie tena nikawepo kwenye lile Tangazo,Sijawahi kanyaga tena pale.
Ungetafuta mwanasheria akushauri uwaadabishe
 
Wanakupiga picha bila ridhaa yako?

Aisee mbona hili ndiyo kwanza nalisikia?
Seriously hujawahi kuisikia??
Wewe Unafikiri haya Mambo mapya ya hovyo kabisa yanayoibuka Sana siku hizi ya kuchafuana kupitia kwenye mitandao ya kuvujisha picha za faragha za watu wenyewe siku hizi wanaita "Connection" Unafikiri zinatoka wapi hizo picha? Unafikiri Mange Kimambi anazipata wapi kama siyo hao wapigapicha unaowaona wamezagaa mitaani??
 
Back
Top Bottom