okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,641
Habarini
Kuna fununu nimeskia kuwa mengi anajenga hoteli ya kitalii kule Machame, je hizi habari zina ukweli wowote?
kama ni za kweli ni fursa gani za kiuchumi tunaweza kuzipata kutokana na ujenzi wa hoteli hiyo especially kwa sisi tuliotokea kilimanjaro?
Nakaribisha mawazo yenu warumi
Kuna fununu nimeskia kuwa mengi anajenga hoteli ya kitalii kule Machame, je hizi habari zina ukweli wowote?
kama ni za kweli ni fursa gani za kiuchumi tunaweza kuzipata kutokana na ujenzi wa hoteli hiyo especially kwa sisi tuliotokea kilimanjaro?
Nakaribisha mawazo yenu warumi
Last edited by a moderator: