Hoteli ya nyota Tatu inajengwa Chato, Wana-CCM mnafurahishwa na kitendo cha kupeleka kila mradi wa ujenzi Chato?

Mnakaa kujadili Hoteli ya nyota 3? JF inabaki kuwa kioja/kituko. Lazima mfahamu kitu kimoja ndio sababu kunakuwa nna mabadiliko ya viongozi wa ngazi za juu. Hivi nyinyi na akili zenu zote mlifikiri hoteli za nyota 3 ni za miji flani flani tu? Wacheni wivu. Chato nao wanastahili kuwa na Hoteli hata ya nyota 5 nk.

Kama mna ushahidi kuna mkono wa JPM au kwa njia moja au nyingine ametumia rushwa wekeni ushahidi wacha - neni na majungu.
 
Nyota 3?? Au mmekosea ni nyota 5?
 
Mimi ushauri wangu ni kwambam
Kigoma kuna mradi gani ? mtwara ? songea ? we mtoto wa magufuli eti ?
Mtwara wanayo mbuga ipi? Kigoma - mradi wa machikichi uliofunguliwa na Mh. Kassim Majaliwa umefika wapi? Songea - Makaa ya mawe yanaendelea je?
 
Sijui TISS huwa wanamshauri nini Mzee?
 
Haya ungeyasema yalipokuwa yanafanywa huko kwenu
 
Kuna kila dalili isikamilike
 
Kuna kila dalili isikamilike
... mzee alikuwa na dreams nyingi sana; kwenye ziara yake ya mwisho Kagera aliwaambia wana-Karagwe kwamba baada ya kustaafu makazi yake yangekuwa huko. Dah; kumbe Mungu ana plans zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…