Hoteli ya nyota Tatu inajengwa Chato, Wana-CCM mnafurahishwa na kitendo cha kupeleka kila mradi wa ujenzi Chato?

umemroga tayari.maneono yako haya kijana ymemkata
 
basi ujue amesha nyamazishwa nchi ina wenyewe hii
 
Hizi ni comments za mwisho mwisho kabisa .Ni kama vile zilikuwa ni unabii!
Enzi hizo watu wamechoshwa na kukata tamaa kweli kweli!! 😃😃 Yaani kama unamuombea Mubutu aanguke vile tena haraka iwezekanavyo!! Ila mwisho wa siku ndiyo hivyo tena!

Pole nyingi kwa wafiwa.😇
 
Ni kweli. lakini hata hivyo majengo kugeuka magofu ni suala la muda tu. Ataishi milele? Jibu ni hapana. Na siku akiwa hayuko tu mambo yataanza kugeuka. Kitu kama ule uwanja wa ndege ni nani atautumia?
Kishakufa sasa
 
Kikwete alopojenga msoga tulilalamika
Mkapa hakujenga kwao tulilalamika
Jpm kajenga kwao tumelalamika
Sisi ni watu wa kulalamika tu

Ova
 
Naona sasa hio hotel wanapata watalii kutoka Dubai,US,UK na tunaingiza mabilioni ya $$$$$.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…