Hottie of the day .....ooh

Hottie of the day .....ooh

sijui kwanini nimeangalia hao watoto nikafurahi
 
Picha nzuri sana ya kufungia mwaka, Senks 1st Lady. Can you!
 
Very nice!
Ashakum si matusi, watoto wamelala kwa staili ya vitoto vya mbwa.
 
Huyu bwana haangalii luninga yeye ni kutafuta watoto tu.

jamaa ni noma... Beki zilikuwa hazikabi ninii? Mtu anapiga double hatrick.... Halafu ni lone straikah! Duh! Alipasia nyavu huyu mmakonde..!
 
DEER.jpg


Nasikia furaha napoitazama picha hii

Double hatrick hiyo 1st Lady !! Vp? 2ijaribu nini...?!
 
Huu uzazi ndo nautaka mimi

jamani nawataminiiiii mungu nijalie na mie.

Kama unawatamani kuna haja gani ya kusumsubiri Mungu wakatia Mwanamke anayo mayai zaidi ya 300,000? Ni kiasi cha kwenda kwa daktari akakupatia dawa ili upate super ovulation, yaani mayai mengi yatoke kwa pamoja na liwepo dume la mbegu...Ni rahisi sana kama kusukuma mlevi...

Ngoma ni baada ya kutoka labour.....Huku bongo itabidi ukoo mzima ukusaidie kulea kwa kuwa hakuna welfare ya kukupa msaada!
 
Inapendeza kwelikweli. Hakuna kurudia once and off!!!
 
ningewapata hao,ningeomba mungu tu awatunze kwakweli maana wameanza mapozi wangali wadogo
 
Pearl wewe mwenyewe mapozi ka sharobaro bi kidude, lazima uzae watoto mabitozi wenye pozi za lkulu
ningewapata hao,ningeomba mungu tu awatunze kwakweli maana wameanza mapozi wangali wadogo
 
ningewapata hao,ningeomba mungu tu awatunze kwakweli maana wameanza mapozi wangali wadogo
..Tehh! Teehhh! ikifika muda wa kuwapa nyonyo nadhani inakuwa burudani fulani hivi au utakuwa unawavizia wamelala unamuamsha mmoja mmoja??
 
wala hakuna shida huwa nawapeka chini a distance frm nilipo zen holding my titis naanza kukamua yatakae mpata ni full kujiraaaaaaaaaaaaamba
..Tehh! Teehhh! ikifika muda wa kuwapa nyonyo nadhani inakuwa burudani fulani hivi au utakuwa unawavizia wamelala unamuamsha mmoja mmoja??
 
Back
Top Bottom