Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Najiuliza wapinzani wakifanya mikutano ya adhara Serikali inaathirika vipi Hadi isshindwe kufanya maendeleo?
Naona Tundu Lisu anazunguka, Je, Mhe Samia na serikali yake wamezuiwa kufanya KAZI.? Naombeni logic ya kufanya mikutano ya kisiasa na kuchelewa Kwa maendeleo; mbona sioni logic?
Hapo Kenya Raila kila wiki anamikitano ya adhara, sijawahi kusikia wakisema inamzuia Rais kutekeleza majukumu yake. Mazuio yalilenga Nani? Au tuseme Wapinzani Wana nguvu kuliko serikali iliyopo nachama chake?
Mikutano ya upinzania imeanza, ccm nao wamekimbilia Kwa wananchi. Mbona kabla walikuwa awapo karibu na wananchi? CCM tusaidieni mlishindwaje kufanya siasa maendeleo na sasa mtawezaje?
Hii
Naona Tundu Lisu anazunguka, Je, Mhe Samia na serikali yake wamezuiwa kufanya KAZI.? Naombeni logic ya kufanya mikutano ya kisiasa na kuchelewa Kwa maendeleo; mbona sioni logic?
Hapo Kenya Raila kila wiki anamikitano ya adhara, sijawahi kusikia wakisema inamzuia Rais kutekeleza majukumu yake. Mazuio yalilenga Nani? Au tuseme Wapinzani Wana nguvu kuliko serikali iliyopo nachama chake?
Mikutano ya upinzania imeanza, ccm nao wamekimbilia Kwa wananchi. Mbona kabla walikuwa awapo karibu na wananchi? CCM tusaidieni mlishindwaje kufanya siasa maendeleo na sasa mtawezaje?
Hii